Kwa anaejua wapi ntapata desktop used kwa bei jumla

massai

JF-Expert Member
May 2, 2011
653
137
nataka desk top kwa wale wanao enda ulaya waniuzie kwa bei ya jumla ili na mimi niweze kufanya bizns .au kwa yeyote anaejua wapi ntapat tafadhali anielekeze.asanteni
 
Back
Top Bottom