nw eca
Member
- Jan 10, 2014
- 20
- 4
Msaada wakuu najua wengi wetu tunatumia fb, kuna kile kipandw cha post ambacho mtu akipost kitu kinaonekana kwa watu wote wanaomhusu na wanaweza ku comment na mengineyo.
Lengo langu ni kufanya kitu kama kile ninatumia SQL Database.... Nimekwama kwa sababu sijui structure ya database kama jinsi walivyofanya fb kuweka uhusiano kwa marafiki na issue zingine.
Kwa anaweza saidia hata kwa wazo database na table jinsi walivyozipangilia na kuweka uhusiano wa comments itakua poa sana
Lengo langu ni kufanya kitu kama kile ninatumia SQL Database.... Nimekwama kwa sababu sijui structure ya database kama jinsi walivyofanya fb kuweka uhusiano kwa marafiki na issue zingine.
Kwa anaweza saidia hata kwa wazo database na table jinsi walivyozipangilia na kuweka uhusiano wa comments itakua poa sana