Kwa aliye tabora, natafuta marafiki wa kike

Kwa aliye tabora, natafuta marafiki wa kike

usawa wa kulia

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2014
Posts
454
Reaction score
154
Wakuu mimi nimehamia Tabora kama wiki 2 ila nimeachwa na mpenzi wangu alivyoona nimejiunga na jeshi, natafuta marafiki wa kike wa kupeana kampani.

Kwa wale waliopo tabora alie tayari naomba ani pm.
 
Aisee........demu wako kwa nini hapendi geshi......?.......mbombo ngafu........
 
Uko kambi gani? na umejiunga na jeshi gani? unakaa Tabora wilaya gani? una umri gani, na kwa nini upende kampani ya mademu pekee? sisi masela haturuhusiwi? na kwenye jeshi lenu hizo wiki mbili ulizokaa hakuna kampani ya wanajeshi wenzako?

wish you all the best
Mr Suggestion wa Kiyungi Tabora
 
Back
Top Bottom