Kwani hiyo sanamu itajengwa wapi? Natumaini haitakuwa hapo Sabasaba kwa sababu tayari vinajulikana kama viwanja vya Nyerere. Logically, sanamu itakayofaa hapo (kama upo huo ilazima na tija) ni ya kiongozi ambaye jina lake linabeba viwanja hivyo. Hivyo basi sanamu ya marehemu Rais Magufuli itaweza kupelekwa kwingineko. Huu ni ushauri tu mdogo.Wajinga wakiwa wengi halafu wakaungana..
Mwenye akili lazima unyamaze..
Yaani mtu anatetea sanamu?Kabisa?
Upungufu wa akili ni mkubwa sana