duuh komaa tu, huku tafuta kazi nyingne, umesema unafanya markrting zaidi ya field yako, jaribu pia na kusaka kazi ya field yako, kuna watu wanajua kupiga kazi sio kutafuta, nahs ukiajiriwa na kampuni ya ujenzi kwenye kitengo chako unaeza fanya poa,..huko marketing sie wengine tuaobwabwaja 24/7...ila komaa sanaaaaaaaaa