Nimeajiliwa toka mwaka 2012, mimi ni mbunifu majengo by profession, kazi ninayofanya ni ya profession yangu kwa asilimia ndogo lakini inahusika sana na mambo ya marketing.
Toka nimeanza kazi kila ninachofanya hakifanikiwi, tulikuwa na website lakini hamna tulichopata, kwa sasa tunadeal na bank equipments lakin napo naona giza naomba mawazo yenu wadau nin nifanya kwenye kwenye hii field ya constraction and design manake hata kazi naiona chungu kwa sasa
Toka nimeanza kazi kila ninachofanya hakifanikiwi, tulikuwa na website lakini hamna tulichopata, kwa sasa tunadeal na bank equipments lakin napo naona giza naomba mawazo yenu wadau nin nifanya kwenye kwenye hii field ya constraction and design manake hata kazi naiona chungu kwa sasa