3llyEmma
JF-Expert Member
- Oct 23, 2017
- 6,172
- 6,882
Wote tu.. wanalindanaMm naona TFF tunawalaumu tu lakini wizara ndo umetuzingua
Wote tu.. wanalindanaMm naona TFF tunawalaumu tu lakini wizara ndo umetuzingua
kwani mganga wenu anasemaje?Naanza kwa Kusema 'BIG UP' Kwa Manara.Kwa Kueleza Waziwazi bila Woga Kitendo kibaya Mno Kilichofanywa na Yanga,Kukimbia Mechi Ya Darby bila kujali Umati Ule uliojazana Pale Kwa Kivuli cha Kanuni.
La Pili ambalo nalo linastahili pongezi ni kuonyesha Uzandiki kwa Wanaojiita wachambuzi...kwa kutetea na kuubeba Utopolo Uliofanywa na Utopolo Yenyewe 'eti wamefanya Kitendo Cha kishujaa.
Hawa Utopolo hawana pa Kuchoropoka mwaka huu, Naziona game mbili clear zinakuja, ya FA na Hii ya VPL ambayo itapangiwa tarehe nyingine .Lazima Vyura wapigwe.
Wachambuzi Uchwara wamekuwa wengi mno....! Tatizo la ajira linakuja na matokea anuai, wengine Wanavamia fani.
We juha unajua maana ya maagizo/maelekezo.Tff walipaswa kuambatanisha na barua ya wizara ya kupeleka mbele mchezo
Yanga wako sahihi mara
Sidhani kama wewe umepita shule au kama umepita shule sidhani kama ulienda JKT,Naanza kwa Kusema 'BIG UP' Kwa Manara.Kwa Kueleza Waziwazi bila Woga Kitendo kibaya Mno Kilichofanywa na Yanga,Kukimbia Mechi Ya Darby bila kujali Umati Ule uliojazana Pale Kwa Kivuli cha Kanuni.
La Pili ambalo nalo linastahili pongezi ni kuonyesha Uzandiki kwa Wanaojiita wachambuzi...kwa kutetea na kuubeba Utopolo Uliofanywa na Utopolo Yenyewe 'eti wamefanya Kitendo Cha kishujaa.
Hawa Utopolo hawana pa Kuchoropoka mwaka huu, Naziona game mbili clear zinakuja, ya FA na Hii ya VPL ambayo itapangiwa tarehe nyingine .Lazima Vyura wapigwe.
Wachambuzi Uchwara wamekuwa wengi mno....! Tatizo la ajira linakuja na matokea anuai, wengine Wanavamia fani.
Elimu za hao unaowaita waandishi na WACHAMBUZI ni zero kbsa. Hawajielewi hao. Ukiwafuata wenye akili tutahoji akili zako
Manara Kajenga Hoja Yenye mashiko Mechi kusogezwa mbele masaa mawili haimaanishi mchezo umehairishwa...Sasa Wachambuzi wanaacha hoja Wanasifia Ushujaa Wa Yanga 'kutimua mbio' .
All in all Ipo haja na Wao kujitathmini wasitumie vyombo vyao Vibsya.
Wewe nikikueleza pumbafu yaani ni pumbafu kwelikweliWe juha unajua maana ya maagizo/maelekezo.
Elewa taarifa ya TFF kwanza, wao wamepata maagizo/maelekezo kutoka Wizara ya Michezo.
Kwani usipoambanisha ndo agizo linakuwa haramu..!? Unawapangia kazi we nani?
Hamna cha maana zaidi kigugumizi tu kwenye kuandika.Wewe nikikueleza pumbafu yaani ni pumbafu kwelikweli
Najua ofisi ikoje na ni nini maana ya ofisi
Kama ni wizara awe waziri wa wizara ameagiza lzm mtendaji wake aandike barua ya kujulisha lile ambalo muheshimiwa kasema
Hizo ndiyo taratibu za kiofisi
Ndiyo maana hata alipokuwepo mh JPM Alisema baada ya muda mfupi barua iliandikwa toka ikulu
Elewa tff ni njama Tu
Ndo maana wakaamua kuahilisha mechi
Kama YANGA ingekua imekosa lzm ingekipata cha mtema kuni tena tff unaijua ni juha Tu wasivoipenda YANGA wageshainiga kitambo
Narudia we pumbaf
Uharo tu huna la maanaHamna cha maana zaidi kigugumizi tu kwenye kuandika.
Acha nikuache tu na uwehu wako, mjini mpe cheo.
Haji Manara kaongea kiushabiki na kujikomba kwa serikali ndio maana hata kwenye taarifa yao wamejaza maneno kibao kama gazeti la udaku lakini la maana hata moja hakuna hakuna hata walipozungumzia kanuni wala sheria, Haji Manara ni mwana ccm, Mo nae ni mwana ccm na waliovurunda ni serikali ya ccm.Naanza kwa Kusema 'BIG UP' Kwa Manara.Kwa Kueleza Waziwazi bila Woga Kitendo kibaya Mno Kilichofanywa na Yanga,Kukimbia Mechi Ya Darby bila kujali Umati Ule uliojazana Pale Kwa Kivuli cha Kanuni.
La Pili ambalo nalo linastahili pongezi ni kuonyesha Uzandiki kwa Wanaojiita wachambuzi...kwa kutetea na kuubeba Utopolo Uliofanywa na Utopolo Yenyewe 'eti wamefanya Kitendo Cha kishujaa.
Hawa Utopolo hawana pa Kuchoropoka mwaka huu, Naziona game mbili clear zinakuja, ya FA na Hii ya VPL ambayo itapangiwa tarehe nyingine .Lazima Vyura wapigwe.
Wachambuzi Uchwara wamekuwa wengi mno....! Tatizo la ajira linakuja na matokea anuai, wengine Wanavamia fani.
Napinga hiiNaanza kwa Kusema 'BIG UP' Kwa Manara.Kwa Kueleza Waziwazi bila Woga Kitendo kibaya Mno Kilichofanywa na Yanga,Kukimbia Mechi Ya Darby bila kujali Umati Ule uliojazana Pale Kwa Kivuli cha Kanuni.
La Pili ambalo nalo linastahili pongezi ni kuonyesha Uzandiki kwa Wanaojiita wachambuzi...kwa kutetea na kuubeba Utopolo Uliofanywa na Utopolo Yenyewe 'eti wamefanya Kitendo Cha kishujaa.
Hawa Utopolo hawana pa Kuchoropoka mwaka huu, Naziona game mbili clear zinakuja, ya FA na Hii ya VPL ambayo itapangiwa tarehe nyingine .Lazima Vyura wapigwe.
Wachambuzi Uchwara wamekuwa wengi mno....! Tatizo la ajira linakuja na matokea anuai, wengine Wanavamia fani.
Vp mechi ile na azam mkakalishwa haikuwa sheriaNdio lakni sheria lazima zifatwe
Ila wanapoisifia Simba huwa ni wachambuzi sabunisabuni? Na kitakwimu, mara nyingi wamekuwa upande upi baina ya takataka na sabunisabuni?
Wewe nikikueleza pumbafu yaani ni pumbafu kwelikweli
Najua ofisi ikoje na ni nini maana ya ofisi
Kama ni wizara awe waziri wa wizara ameagiza lzm mtendaji wake aandike barua ya kujulisha lile ambalo muheshimiwa kasema
Hizo ndiyo taratibu za kiofisi
Ndiyo maana hata alipokuwepo mh JPM Alisema baada ya muda mfupi barua iliandikwa toka ikulu
Elewa tff ni njama Tu
Ndo maana wakaamua kuahilisha mechi
Kama YANGA ingekua imekosa lzm ingekipata cha mtema kuni tena tff unaijua ni juha Tu wasivoipenda YANGA wageshainiga kitambo
Narudia we pumbaf
Kanye ulale mkulu povu lote kama mkaanga maandaziUpuuzi kama huu unaweza kuta aliyeandika ni msomi kabisa.
Waziri ni mpenzi wa utopolo...kama TFF ingemsingizia unadhani nini kingetokea?
Yaani utopolo mpange kuahirisha mechi,halafu nyie nyie mnagomea kuahirishwa,halafu mnarudi mnalaumu Simba?!! Simba hii iliyomrarua goli 4 aliyewauzia makapi?Hii iliyomuua al ahly kwa Mkapa?Ianze kuogopa tumbiri?
Humo kichwani kumejaa taka taka au kamasi?