kinje ketile
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 4,288
- 8,281
Naanza kwa kusema 'BIG UP' kwa Manara kwa kueleza waziwazi bila woga kitendo kibaya mno kilichofanywa na Yanga, kukimbia mechi bila kujali umati ule uliojazana pale kwa kivuli cha kanuni.
La pili ambalo nalo linastahili pongezi ni kuonesha uzandiki kwa wanaojiita Wachambuzi...kwa kutetea na kuubeba utopolo uliofanywa na utopolo yenyewe 'Eti wamefanya kitendo cha kishujaa’.
Hawa utopolo hawana pa kuchoropoka mwaka huu, naziona game mbili clear zinakuja, ya FA na hii ya VPL ambayo itapangiwa tarehe nyingine. Lazima vyura wapigwe.
Wachambuzi uchwara wamekuwa wengi mno....! Tatizo la ajira linakuja na matokeo anuai, wengine wanavamia fani.
La pili ambalo nalo linastahili pongezi ni kuonesha uzandiki kwa wanaojiita Wachambuzi...kwa kutetea na kuubeba utopolo uliofanywa na utopolo yenyewe 'Eti wamefanya kitendo cha kishujaa’.
Hawa utopolo hawana pa kuchoropoka mwaka huu, naziona game mbili clear zinakuja, ya FA na hii ya VPL ambayo itapangiwa tarehe nyingine. Lazima vyura wapigwe.
Wachambuzi uchwara wamekuwa wengi mno....! Tatizo la ajira linakuja na matokeo anuai, wengine wanavamia fani.