Kwa agizo la Rais na tangazo la Waziri Jaffo jana naona mkanganyiko tafadhali nisaidieni

Kidogo chetu

JF-Expert Member
Nov 27, 2009
1,432
992
wanabodi Habarini.
mtakumbuka wakati mheshimiwa rais akiizindua rasmi kampasi ya MUHAS Mlonganzila aliagiza hospitali zote za rufaa ziwe chini ya wizara ya afya agizo ambalo jana waziri wa Tamisemi amelitekeleza. Jaffo ameagiza ofisi zote za waganga wafawidhi kuwa chini ya wizara ya afya mara moja, na zitapokea pesa moja kwa moja bila kupita kwa RAS. lakini hapo hapo RMO's wa mikoa yenye hospitali hizo za rufaa inaonekana kama wamebakizwa chini ya TAMISEMI
Ombi: mwanabodi anayeelewa vizuri maana ya tamko la waziri ebu anifafanulie.
 
Kwani kuna kitu kinaeleweka katika awamu hii? Kwani kuna kitu kiko sawa katika zama hizi? Kila kitu vululuvululu
 
wanabodi Habarini.
mtakumbuka wakati mheshimiwa rais akiizindua rasmi kampasi ya MUHAS Mlonganzila aliagiza hospitali zote za rufaa ziwe chini ya wizara ya afya agizo ambalo jana waziri wa Tamisemi amelitekeleza. Jaffo ameagiza ofisi zote za waganga wafawidhi kuwa chini ya wizara ya afya mara moja, na zitapokea pesa moja kwa moja bila kupita kwa RAS. lakini hapo hapo RMO's wa mikoa yenye hospitali hizo za rufaa inaonekana kama wamebakizwa chini ya TAMISEMI
Ombi: mwanabodi anayeelewa vizuri maana ya tamko la waziri ebu anifafanulie.
fanya kazi tafuta pesa. hayo yanakusaidia nini mpaka utusumbue hapa
 
Hakuna mkanganyiko hapo, umeambiwa RMO ni mshauri wa Afya mkoa na atabaki kwa RAS na MOI atakuwa ndiyo mkuu wa hospitali ya rufaa, kwa nini nyie CCM ni wagumu sana wa kuelewa vitu vidogo?
Mkuu hivi huko wanaruhusu kukaa baa asubuh.!? Hebu endelea kupata bili niachie:D
 
Hakuna mkanganyiko hapo, umeambiwa RMO ni mshauri wa Afya mkoa na atabaki kwa RAS na MOI atakuwa ndiyo mkuu wa hospitali ya rufaa, kwa nini nyie CCM ni wagumu sana wa kuelewa vitu vidogo?
Hahahah ccm vilaza
 
wanabodi Habarini.
mtakumbuka wakati mheshimiwa rais akiizindua rasmi kampasi ya MUHAS Mlonganzila aliagiza hospitali zote za rufaa ziwe chini ya wizara ya afya agizo ambalo jana waziri wa Tamisemi amelitekeleza. Jaffo ameagiza ofisi zote za waganga wafawidhi kuwa chini ya wizara ya afya mara moja, na zitapokea pesa moja kwa moja bila kupita kwa RAS. lakini hapo hapo RMO's wa mikoa yenye hospitali hizo za rufaa inaonekana kama wamebakizwa chini ya TAMISEMI
Ombi: mwanabodi anayeelewa vizuri maana ya tamko la waziri ebu anifafanulie.
Kifo cha hospital za rufaa nakiona kwa karibu sana, Referal hopsital zilizpokuwa chini ya mikoa zilikuwa pia zikipata michango kutoa halmashauri zilizopo mkoani; je halmashauri zitaendelea kuchangia? au sasa zitajikita kuimarisha vituo vyake vya afya?Wizara itaweza kutimiliza mahitaji ya hospitali hizi?
 
Kifo cha hospital za rufaa nakiona kwa karibu sana, Referal hopsital zilizpokuwa chini ya mikoa zilikuwa pia zikipata michango kutoa halmashauri zilizopo mkoani; je halmashauri zitaendelea kuchangia? au sasa zitajikita kuimarisha vituo vyake vya afya?Wizara itaweza kutimiliza mahitaji ya hospitali hizi?
Kuna point nzuri sana hapa ila umesahau kuwa hata Halmashauri kwa sasa hazina pesa sababu pesa zote zinapelekwa Central Government so ukiwaachia hizo hospital ni wazi hazitaweza kuhudumiwa naona Magu ameshaona madhara ya mamuzi ya kunyang'anya mapato ya Halmashauri so ameona bora ahamishie Wizarani ili zihudumiwe. Ila nachokiona hizi zahanati zitapata shida sana maana halmashauri hazina pesa kwa sasa that is my worry.
 
wanabodi Habarini.
mtakumbuka wakati mheshimiwa rais akiizindua rasmi kampasi ya MUHAS Mlonganzila aliagiza hospitali zote za rufaa ziwe chini ya wizara ya afya agizo ambalo jana waziri wa Tamisemi amelitekeleza. Jaffo ameagiza ofisi zote za waganga wafawidhi kuwa chini ya wizara ya afya mara moja, na zitapokea pesa moja kwa moja bila kupita kwa RAS. lakini hapo hapo RMO's wa mikoa yenye hospitali hizo za rufaa inaonekana kama wamebakizwa chini ya TAMISEMI
Ombi: mwanabodi anayeelewa vizuri maana ya tamko la waziri ebu anifafanulie.
Haya wazee wa matukio , sasa wewe Kwa akili yako kubwa au ndogo, hilo tamko lififisha au kuzuia wewe kupata huduma Ktk hizo hospitali au ndio fursa ya kupiga siasa??? Leo M7 kawaambia wakenya kitu Cha kwanza Cha kufuata
1. Amani- Peace
2. Ustawi wa jamiii - Prosperity
3. Maendeleo aka development
4. Siasa- politics .
Lakini wewe naona Bado upo Ktk kipindi Cha uchaguzi ambapo siasa inapewa kipaupendele. Subiri 2020 uwaulize wananchi Kama mabadiliko hayo Yamaanufaaa au la.
 
wanabodi Habarini.
mtakumbuka wakati mheshimiwa rais akiizindua rasmi kampasi ya MUHAS Mlonganzila aliagiza hospitali zote za rufaa ziwe chini ya wizara ya afya agizo ambalo jana waziri wa Tamisemi amelitekeleza. Jaffo ameagiza ofisi zote za waganga wafawidhi kuwa chini ya wizara ya afya mara moja, na zitapokea pesa moja kwa moja bila kupita kwa RAS. lakini hapo hapo RMO's wa mikoa yenye hospitali hizo za rufaa inaonekana kama wamebakizwa chini ya TAMISEMI
Ombi: mwanabodi anayeelewa vizuri maana ya tamko la waziri ebu anifafanulie.
Haya wazee wa matukio , sasa wewe Kwa akili yako kubwa au ndogo, hilo tamko lififisha au kuzuia wewe kupata huduma Ktk hizo hospitali au ndio fursa ya kupiga siasa??? Leo M7 kawaambia wakenya kitu Cha kwanza Cha kufuata
1. Amani- Peace
2. Ustawi wa jamiii - Prosperity
3. Maendeleo aka development
4. Siasa- politics .
Lakini wewe naona Bado upo Ktk kipindi Cha uchaguzi ambapo siasa inapewa kipaupendele. Subiri 2020 uwaulize wananchi Kama mabadiliko hayo Yamaanufaaa au la.
 
Back
Top Bottom