maroon7
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 11,297
- 15,584
Wanabodi taarifa ya habari itv imeonesha maafisa wa NEMC Mwanza wakizuia ujenzi uliokamilika wa kituo cha mafuta lake oil kisa ni hatari kwa mazingira. Binafsi nakifaham kituo hicho na nimekiona tangu wanaanza kuchimba na kukata mwamba ajabu siku zote hizo NEMC hawakuona hadi watu mamemaliza wako hatua za mwisho eti ndio wanatutangazia kuzuia sabab ya hatari za kimazingira.
Binafsi nimewadharau sana NEMC kwa hili kwa sabab wanaonekana kufanya kazi kisiasa kwani kituo hicho hakijaota kama uyoga na ardhi hawajaokota tu kuanza ujenzi huo. Huku ni kurudishana nyuma kama nchi na namna hii hatuwezi kufika kwani kituo barabarani kabisa na wamekiona tangu jamaa wanakata mwamba
Binafsi nimewadharau sana NEMC kwa hili kwa sabab wanaonekana kufanya kazi kisiasa kwani kituo hicho hakijaota kama uyoga na ardhi hawajaokota tu kuanza ujenzi huo. Huku ni kurudishana nyuma kama nchi na namna hii hatuwezi kufika kwani kituo barabarani kabisa na wamekiona tangu jamaa wanakata mwamba