Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 137,707
- 272,592
Njia pekee iliyobaki kwa TBC angalau kutazamwa n.a. wananchi ilikuwa kuonyesha michuano hiyo ya Afcon.
Ikumbukwe kwamba Hii channel ni ya bure, na ndio hao masikini wa TANZANIA wanaitumia kuangalia Afcon, Sasa kuzima ni sawa n.a. kukomoa makapuku.
Nimepokea malalamiko Kutoka lea masikini Wengi wa TANZANIA kwamba TBC haipatikani bila bando ili masikini walazimike kulipia Azam, Kimsingi hii ni njama ya kijinga sana
Yaani sasa TBC ipo kwa ajili ya hotuba za Mwigulu tu
Poor TANZANIA!
Ujumbe: TUNATEKELEZA
Ikumbukwe kwamba Hii channel ni ya bure, na ndio hao masikini wa TANZANIA wanaitumia kuangalia Afcon, Sasa kuzima ni sawa n.a. kukomoa makapuku.
Nimepokea malalamiko Kutoka lea masikini Wengi wa TANZANIA kwamba TBC haipatikani bila bando ili masikini walazimike kulipia Azam, Kimsingi hii ni njama ya kijinga sana
Yaani sasa TBC ipo kwa ajili ya hotuba za Mwigulu tu
Poor TANZANIA!
Ujumbe: TUNATEKELEZA
