Maana yake ni kwamba asingekwepo na kwani kutokuwepo kwake duniani, angepata hasara gani.Kuzaa ni kulipa deni lako la kuzaliwa, unapozaliwa unatakiwa uzae ili kizazi kiendelee kuwepo. Hilo wazo lako ni zuri sana ukiwa katikati ya upumbavu, lakini ni swali baya ukiwa timamu kweli, jiulize kile kizazi kilichotoka kwenye safina kingejiuliza hivi we ungeulizia wapi??
Kikawaida mke wa tajiri akipata mimba possibility ya kuharibika mimba ni kubwa sawa na ya kuzaa 50/50 lakini masikini akishika mimba kuzaa ni 90 % kuharibika ni 01% kutoa 09% ndipo uelewe Tajiri na Mali zake masikini na watoto wake.Arabi ni kwamba wenye uwezo mkubwa kiuchumi hawana utitiri wa Watoto....!!
Kwa sisi viumbe tulio hai tunazaana ili maisha yaendelee na huo mwendelezo ndo faida kwetu sababu tumepata tunachokitaka, maisha yakikoma ni hasara kwetu sababu tumekosa tulichokitaka.
Kuhusu wanachopata waliokufa kwa kuendeleza maisha hakuna ajuaye kama wewe usivyojua utapata hasara gani usipozaliana pale utakapokufa.
Pia uwafikirie wale ambao walizaa watoto wenye matatizo mbalimbali kwa mfano, seli mundu vilema vya mwili na akili, mashoga, nk nk ambao kila siku ni kupisha a kwenye korido za mahospitalini, na maziko kila mara, ...Kuzaa kunafaida ya kujihisi raha tu unapowaona watoto wako na kuwafundisha fundisha vitu, BINADAMU WOte tunapenda tuonekane tunajua vitu na kutaka umpate mtu wa kumfundisha mambo, Sasa ule muda unamfundisha ndio raha Tena hasa akaelewa.
Hi ipo kwa kuku pia anapenda pia kufundisha vifaranga kuparua chakula,njia za mpambano nk
This is logical, plants are farming us for sureBinadamu ni mifugo ya mimea. Mimea ina wafuga kwa kuwapa oxygen maji na chakula mkisha wiva ina wavuna through death.
Maisha si wewe pekeyako. Naongelea uwepo wa viumbe hai waitwao binadamu.kwani ukizaa ndio maisha yako hayakomi ,uzae usizae lazima ufe na maisha yako ndio yamekoma hapo
Unamlipa nani hilo deni wazazi wako au?Kuzaa ni kulipa deni lako la kuzaliwa, unapozaliwa unatakiwa uzae ili kizazi kiendelee kuwepo. Hilo wazo lako ni zuri sana ukiwa katikati ya upumbavu, lakini ni swali baya ukiwa timamu kweli, jiulize kile kizazi kilichotoka kwenye safina kingejiuliza hivi we ungeulizia wapi??
Sasa Duniani unakuwepo ili kulinda nini, Wakati siku moja utakufa tu?Kuzaliana ndio kusurvive. Watu wasipozaa watakufa na binadamu watatoweka duniani.
Nikuulize: unataka kusiwe na kifo ndipo maisha yawe na maana?Sasa Duniani unakuwepo ili kulinda nini, Wakati siku moja utakufa tu?
Maswali ya why huwa hayana mwisho. Nasikia ndomana Mungu kajificha maana binadamu mngemchosha na why why wakati saa nyingine jibu ni Just because, For no reason, Coz I canBut why kunakiwa na upendo kati ya mzazi na mtoto.?
walioendeleza maisha tangu miaka hiyo ya zamani sasa huko walipo wanafaidika nini na kizazi walichoendeleza
Hatuzungumzii binadamu pekee. Ng'ombe, kuku nk.... ungekuwa mwanaume usiye na uwezo wa kuzalisha au mwanamke usiye na uwezo wa kutunga mimba usingewaza haya, siku zote aliyeshiba hamfikirii mwenye njaa...kiafya binadamu anasaidiwa na kuzaa sababu moja ya kazi ya mifumo ya mwilini ni kutengeneza viini vya uzazi wa binadamu mwingine na zoezi zima uitimishwa na Sex kati ya mwanaume na mwanamke na ndiyo maana kutokuwa na uwezo wa kuzaa au kuzalisha ni tatizo la kiafya.!
Itakuwa hupendi kula wewe! Kama unapenda kula kaulize mimea kwanini inatoa mavuno na kisha yenyewe inachomwa kama mabua n.kMwili wa binadamu na viumbe wengine wote unahangaika sana na mambo mawili. Kusurvive na kuzaliana. Sasa najiuliza kuzaliana kunamsaidia nini kiumbe anayezaa. Kuendeleza kizazi cha ng'ombe, kunamsaidia nini ng'ombe anayezaa. Binadamu walioishi miaka ya BC huko, wanafaidika vipi na kuendeleza uzao wa binadamu? Kungekuwa hamna kufa ningeweza kidogo kuelewa.
Zaidi naona uzazi unamnyonya mzazi kiafya, kichumi nk. Kuzaliana kunamsaidia nini anayezaa?
Kiumbe anafaidi saaana mnoooooo, yaaani ni raha hadi mwisho.Mwili wa binadamu na viumbe wengine wote unahangaika sana na mambo mawili. Kusurvive na kuzaliana. Sasa najiuliza kuzaliana kunamsaidia nini kiumbe anayezaa. Kuendeleza kizazi cha ng'ombe, kunamsaidia nini ng'ombe anayezaa. Binadamu walioishi miaka ya BC huko, wanafaidika vipi na kuendeleza uzao wa binadamu? Kungekuwa hamna kufa ningeweza kidogo kuelewa.
Zaidi naona uzazi unamnyonya mzazi kiafya, kichumi nk. Kuzaliana kunamsaidia nini anayezaa?
A aah,,, tungekuwa hatuongei hata for that case 😂😂😂Mnazaliana because,, your genes are selected for survival,, mgekuwa selected against tungekuwa tunaongelea swala lingine
Umeiangalia kimaskini sana, kwamba mimea ina uhitaji fulani wa wanyama sanaBinadamu ni mifugo ya mimea. Mimea ina wafuga kwa kuwapa oxygen maji na chakula mkisha wiva ina wavuna through death.
Hicho kitendo cha kuweza kutoa ndio faida yenyewe..........elewa mada, mti ukizaa maembe wenyewe una faida gani na yale maembe