Kuzaa imekuwa kama fashion (mitindo).

Kinumbo

JF-Expert Member
Dec 8, 2019
2,742
4,931
Hili janga linazidi kuwa kubwa sana, hii ishu bado sijajua ni kipi hasa kinapelekea itokee. Huenda ni kuiga ama tamaa za hapa na pale. Hapa nazungumzia vile vi binti vidogo vidogo.

Mtaani unakutana na mabinti wadogo wadogo wana watoto wengine wana ujauzito wakisubiri kujifungua. Hii kitu imekuwa kama fashion sasa kila binti anafanya tu, hapo nyuma kidogo hii kitu haikuwepo kabisa. Ata hawa wasanii wetu wa kike hapo nyuma walikuwa wakiogopa kupata ujauzito ili baadae wajifungue ila sasa hivi aaah wanapenda sana. Turudi huku mtaani hawa mabinti wadogo wanao pata ujauzito kisha watoto ingali hawajui ata malezi yako vipi ni nini kimewasibu?

Ieleweke kuwa sipingi wanawake kupata ujauzito kisha mtoto, ila imekuwa kama mtindo fulani hivi yaani kama binti yupo mtaani tu hasomi basi anawaza kupata mtoto. Ni sawa ila muwe walezi bora kwa hao watoto wenu.

Uzi tayari
 
Kuzaa sio issues issues wanazalishwa na kuachwa ,wanawake siku hizi wana tamaa ya fedha na wanawume tunapenda ngono hatutaki majukumu. Idadi ya single mother inakuwa kwa speed ya light.Sasa hicho kizazi kijacho ndio kitakuwa balaa hakito ona umuhimu wa familia yaani siki patii picha.
 
Mnaanza kupangia watu hadi kuzaa aisee, hii sasa ni too much.
Acheni watu waishi wanavyotaka
 
Kuzaa sio issues issues wanazalishwa na kuachwa ,wanawake siku hizi wana tamaa ya fedha na wanawume tunapenda ngono hatutaki majukumu. Idadi ya single mother inakuwa kwa speed ya light.Sasa hicho kizazi kijacho ndio kitakuwa balaa hakito ona umuhimu wa familia yaani siki patii picha.
hii coment yako umenikumbusha story juzi kuna dem kazalishwa na muhindi ile amezaa tu muhindi kaanza kumkimbia hampigii sim siku 2 hadi 3 na ana mtoto wake, dem alidhani kumzalia ndio kumteka kumbe wapi sasa safari ya usingo mother inamuwadia
 
vinajua mashugadady mnawanyemelea wanazaa na wenye umri wao kwanza ndio waje kwenu kutafta hela ya malezi sio kingine coz wenye umri wao hawana uwezo.
 
Issue ni kwamba wanaume tuache kuwazalisha na kuwatelekeza, tuwawowe kabisa hata kama unafikisha wake 3+ basi tu anakuwa na adress mke wa flani
 
Hili janga linazidi kuwa kubwa sana, hii ishu bado sijajua ni kipi hasa kinapelekea itokee. Huenda ni kuiga ama tamaa za hapa na pale. Hapa nazungumzia vile vi binti vidogo vidogo.

Mtaani unakutana na mabinti wadogo wadogo wana watoto wengine wana ujauzito wakisubiri kujifungua. Hii kitu imekuwa kama fashion sasa kila binti anafanya tu, hapo nyuma kidogo hii kitu haikuwepo kabisa. Ata hawa wasanii wetu wa kike hapo nyuma walikuwa wakiogopa kupata ujauzito ili baadae wajifungue ila sasa hivi aaah wanapenda sana. Turudi huku mtaani hawa mabinti wadogo wanao pata ujauzito kisha watoto ingali hawajui ata malezi yako vipi ni nini kimewasibu?

Ieleweke kuwa sipingi wanawake kupata ujauzito kisha mtoto, ila imekuwa kama mtindo fulani hivi yaani kama binti yupo mtaani tu hasomi basi anawaza kupata mtoto. Ni sawa ila muwe walezi bora kwa hao watoto wenu.

Uzi tayari
Kwani we Kazi yako ni kufuatilia tu mambo ya watu..... We ukitaka kuzaa zaa tu... Ukitaka kutokuzaa ni ww tu kila mtu na maamuzi yake..... Tena me nafurai bora wazae kuliko kutoa mimba
 
Wengi wanazalishwa na kuachwa solemba alafu mabint wasasa wengi awajielewi
Hili janga linazidi kuwa kubwa sana, hii ishu bado sijajua ni kipi hasa kinapelekea itokee. Huenda ni kuiga ama tamaa za hapa na pale. Hapa nazungumzia vile vi binti vidogo vidogo.

Mtaani unakutana na mabinti wadogo wadogo wana watoto wengine wana ujauzito wakisubiri kujifungua. Hii kitu imekuwa kama fashion sasa kila binti anafanya tu, hapo nyuma kidogo hii kitu haikuwepo kabisa. Ata hawa wasanii wetu wa kike hapo nyuma walikuwa wakiogopa kupata ujauzito ili baadae wajifungue ila sasa hivi aaah wanapenda sana. Turudi huku mtaani hawa mabinti wadogo wanao pata ujauzito kisha watoto ingali hawajui ata malezi yako vipi ni nini kimewasibu?

Ieleweke kuwa sipingi wanawake kupata ujauzito kisha mtoto, ila imekuwa kama mtindo fulani hivi yaani kama binti yupo mtaani tu hasomi basi anawaza kupata mtoto. Ni sawa ila muwe walezi bora kwa hao watoto wenu.

Uzi tayari
 
Mkuu wazazi wetu walijibanabana Sana. Hawakuchakatana kiswasawa.

Acha watu wachakatane maana maisha ni mafupi Sana.
 
Kikubwa hawakuombi ya kutunzia watoto,easy mkuu
Sitaki kubishana dada, ila umefika mikoani na hasa vijijini ambapo hao wasichana waliozalishwa wapo pia. Usiangalie majiji au Dar tu. Utawaonea huruma sana tena sana na wengine familia zao huwakataa, wanabaki kuishi kwa depression maana wakija tu hospitali hata hawajui waanzie wapi. Tusiubariki uzinzi na uasherati, unamuangamiza mtu kwa sonona vibaya sana hasa wadada. Dar ni Dar ila hii ni TZ sio USA, maisha ya kuyaangalia sio wadada wa Dar bali mkoani. Utaumia sana, ukiyaona. Kujiweza sio kula tu bali kuna mavazi, elimu, uwezo wa kutimiza malengo mapana na mengine mengi. Hao wadada ni kama wamestuck mpaka apate a push na itokwe kwamtu mwenye nia njema lasivyo anadidimizwa chini.
 
Back
Top Bottom