Kuweni makini ndugu zangu

Kuweni makini ndugu zangu

Utakuwa ni pimbi kama unaweza kuiponda serikali alafu ukifuatwa Pm unakuwa mwepesi kama pamba.

Kuna vitu hupaswi kufanya hasa huko pm, sio kwa wanaoikosoa serikali tu hata sisi wengineo. Sio kila mtu ana wema ulionao wewe.

Ndoa za watu nazo ni sumu mbaya sana, biashara haram, dhuluma ni kati ya mambo ambayo yanahatarisha uhai. Yote haya chanzo ni tamaa, tujifunze kuzishinda tamaa zetu.
 
Utakuwa ni pimbi kama unaweza kuiponda serikali alafu ukifuatwa Pm unakuwa mwepesi kama pamba.

Kuna vitu hupaswi kufanya hasa huko pm, sio kwa wanaoikosoa serikali tu. Sio kila mtu ana wema ulionao wewe.

Ndoa za watu nazo ni sumu mbaya sana, biashara haram, dhuluma ni kati ya mambo ambayo yanahatarisha uhai. Yote haya chanzo ni tamaa, tujifunze kuzishinda tamaa zetu.
Msema kweli 👊
 
Kuna uzi humu ndani unazungumzia hayo mambo ya kuwa makini ili usitekwe.

Kama humu unatoa comments conscious basi usije kudanganyika na honey trap.
 
Jpm alisingiziwa na mengi mno asee na alipokufa watu walishangilia. Saivi wamesahau Tena wanalia na utekaji
Mission yakipindi kile jamaa achafuke! Kweli tukio kama la Lisu anaweza kuwa serkali yake ilihusika ila issue za utekaji,Mauaji na kuokotwa watu kwenye viroba yalilenga sana kuchafua serkali!
Ila huwezi kujua kuna uwezekano hata wahanga wakuuawa akina Soka,Ulomi na akina Sativa walikesha wakishangilia kifo cha JPM!
Hakika kifo kipo mlangoni tudumu katika sala!
 
Mission yakipindi kile jamaa achafuke! Kweli tukio kama la Lisu anaweza kuwa serkali yake ilihusika ila issue za utekaji,Mauaji na kuokotwa watu kwenye viroba yalilenga sana kuchafua serkali!
Ila huwezi kujua kuna uwezekano hata wahanga wakuuawa akina Soka,Ulomi na akina Sativa walikesha wakishangilia kifo cha JPM!
Hakika kifo kipo mlangoni tudumu katika sala!
Hatari sana.
 
Bado hawajasema 😂
Dozi kwa dozi mpaka wamkubali JPM kuwa hakuhusika na yale mambo
Maana saivi watu wanakimbizwa kama kuku Ili watekwe. Niliona Ile jamaa anakimbizwa na police mnene Ili atekwe yaani ni sawa na kuku anavyokimbizwa Ili akachinjwe asee Kwa JPM sikuwahi ona utekaji wa hadharani namna ile
 
Haya mambo yamekuwa yakitendeka miaka na miaka , utofauti ni kwamba hivi sasa mitandao ya kijamii inatumika sana na taarifa zinakwenda kwa kasi ya mwanga....

Hakuna wakati mitandao inatumika zaidi kama hii miaka, walioshika mpini wanafeli, hizi mbinu old skuli, wanajiharibia, zama zimebadilika wabadilike.
 
Haya mambo yamekuwa yakitendeka miaka na miaka , utofauti ni kwamba hivi sasa mitandao ya kijamii inatumika sana na taarifa zinakwenda kwa kasi ya mwanga....

Hakuna wakati mitandao inatumika zaidi kama hii miaka, walioshika mpini wanafeli, hizi mbinu old skuli, wanajiharibia, zama zimebadilika wabadilike.
Ila kuna ukweli sana kwa hilo! Maana mitandao inatufanya tuyasikie sana haya matukio lakini kipindi cha nyuma nchi nzima inasikiliza RTD huwezi kusikia!
 
Back
Top Bottom