Mowwo
JF-Expert Member
- Aug 15, 2015
- 1,728
- 2,544
Nchi ipi mkuu
KUsifia lazima
KUsifia lazima
Wasiwasi na uoga wako tu nchi ipo salama sana
Wasiwasi na uoga wako tu nchi ipo salama sana
Kuna watu bado wanasema JPM kuwa anahusika, aisee inahitaji uwe mwendawazimu kusema JPM anahusika kwenye haya mamboMaana saivi watu wanakimbizwa kaka kuku Ili watekwe. Niliona Ile jamaa anakimbizwa na police mnene Ili atekwe yaani ni sawa na kuku anavyokimbizwa Ili akachinjwe asee Kwa JPM sikuwahi ona utekaji wa hadharani namna ile
Yeye ndo mwasisi wa utekaji nchiniEh au JPM kafufuka 😂 c mlisema ndie muongozaji wa utekaji, imekuwaje sasa n mwaka wa tatu ila bado utekaji upo 😂
Hao ni vichaa. Tena JPM alivyokuea anasema vibaya vile kipindi hicho Ingekuwa anasema vibaya mama Leo aisee sijui Hali ingekuwaje.Kuna watu bado wanasema JPM kuwa anahusika, aisee inahitaji uwe mwendawazimu kusema JPM anahusika kwenye haya mambo
Kipindi Cha kikwete hakuna watu waliotekwa?Yeye ndo mwasisi wa utekaji nchini
Sawa mkuuHabari
Kuweni makini member wenzangu kwa hali inayoendelea nchini ya kutekana kuwa mwangalifu na watu wanaokuja PM kama we ni mtu wa kuiponda serikali..
NB: Kinga ni bora kuliko tiba
Ni mfumo mzima na utendaji wake, sio rais flani au kiongozi flani ..Ila kuna ukweli sana kwa hilo! Maana mitandao inatufanya tuyasikie sana haya matukio lakini kipindi cha nyuma nchi nzima inasikiliza RTD huwezi kusikia!
Tanzania ipo salama sana ndio maana wananchi wametuliaNchi ipi mkuu
KUsifia lazima
Sasa mwasisi c ameshakufa mwaka wa tatu huu, mbona bado yanaendelea?Yeye ndo mwasisi wa utekaji nchini
Ahsante kwa ukumbusho. Ila kwanini tufikie huku?? Mambo yakutekana na kuuana kwanini??Habari
Kuweni makini member wenzangu kwa hali inayoendelea nchini ya kutekana kuwa mwangalifu na watu wanaokuja PM kama we ni mtu wa kuiponda serikali..
NB: Kinga ni bora kuliko tiba
Kama muda wote unawaza simba na Yanga huwezi kuelewa yanayoendelea nchiniTanzania ipo salama sana ndio maana wananchi wametulia
Ndio muache kuiponda sasa mkuu, serikali ni kama baba yalo yapasa umuheshimu na umseme kwa stahaHabari
Kuweni makini member wenzangu kwa hali inayoendelea nchini ya kutekana kuwa mwangalifu na watu wanaokuja PM kama we ni mtu wa kuiponda serikali..
NB: Kinga ni bora kuliko tiba
Huyo mzee hakuwa Mwasisi ila kulikuwa na watu anawaamini walitumia madaraka vibaya sana!Sasa mwasisi c ameshakufa mwaka wa tatu huu, mbona bado yanaendelea?
Michezo hii inapangwa na mamluki wenyewe wa CCM, hiki chama kimeshindwa kabisa kuongoza nchi iliyobaki kwao sasa ni kutishia maisha ya watu kama ilivyo dini ya Kiislam. Ukiongea ukweli unatekwa na kuuliwa.Eh au JPM kafufuka 😂 c mlisema ndie muongozaji wa utekaji, imekuwaje sasa n mwaka wa tatu ila bado utekaji upo 😂
Mkuu hii vita ni ya walengwa waliobeba mission na siri nzito ya like Wanachofanya kwa Siri na hayo yanaratibiwa vema wenye nchi yaoHabari
Kuweni makini member wenzangu kwa hali inayoendelea nchini ya kutekana kuwa mwangalifu na watu wanaokuja PM kama we ni mtu wa kuiponda serikali..
NB: Kinga ni bora kuliko tiba
PM huko tulishavuka, labda wanaokuja nyumbani, Nchi yoyote inayoua Raia ili kuokoa Watawala haitofika popoteHabari
Kuweni makini member wenzangu kwa hali inayoendelea nchini ya kutekana kuwa mwangalifu na watu wanaokuja PM kama we ni mtu wa kuiponda serikali..
NB: Kinga ni bora kuliko tiba
Serikali ikifanya mambo ya hovyohovyo itasemwa bila staha na ikitenda mazuri itasifiwa bila staha.Ndio muache kuiponda sasa mkuu, serikali ni kama baba yalo yapasa umuheshimu na umseme kwa staha
Hilo ndio limeanzisha taasisi ya utekaji. Lenyewe halipo ila taasisi bado ipo imara.Eh au JPM kafufuka 😂 c mlisema ndie muongozaji wa utekaji, imekuwaje sasa n mwaka wa tatu ila bado utekaji upo 😂
Kwahy sasa hv taasisi inaendeshwa na nanHilo ndio limeanzisha taasisi ya utekaji. Lenyewe halipo ila taasisi bado ipo imara.