Sawa lucasWasiwasi na uoga wako tu nchi ipo salama sana
Umenena vyema jambo la muhimu ni kuwa makini wasiojulikana wapo wengi humu wanakuja kwa njia za mademuUtakuwa ni pimbi kama unaweza kuiponda serikali alafu ukifuatwa Pm unakuwa mwepesi kama pamba.
Kuna vitu hupaswi kufanya hasa huko pm, sio kwa wanaoikosoa serikali tu hata sisi wengineo. Sio kila mtu ana wema ulionao wewe.
Ndoa za watu nazo ni sumu mbaya sana, biashara haram, dhuluma ni kati ya mambo ambayo yanahatarisha uhai. Yote haya chanzo ni tamaa, tujifunze kuzishinda tamaa zetu.
HakikaMission yakipindi kile jamaa achafuke! Kweli tukio kama la Lisu anaweza kuwa serkali yake ilihusika ila issue za utekaji,Mauaji na kuokotwa watu kwenye viroba yalilenga sana kuchafua serkali!
Ila huwezi kujua kuna uwezekano hata wahanga wakuuawa akina Soka,Ulomi na akina Sativa walikesha wakishangilia kifo cha JPM!
Hakika kifo kipo mlangoni tudumu katika sala!
Tuna akili tofauti nduguHalafu unaiponda serikali ili upate nini??
Serikali inashauriwa tu!!!
Mwafrika Hafi na akifa huwa anastaafu tu kuonekana Machoni ila yupo kazini Muda wote.Eh au JPM kafufuka 😂 c mlisema ndie muongozaji wa utekaji, imekuwaje sasa n mwaka wa tatu ila bado utekaji upo 😂
uvccm hawana akili ni mazezetaSawa mkuu
View attachment 3178428
Hili swali gumu kujibu mi mwenyewe sijuiAhsante kwa ukumbusho. Ila kwanini tufikie huku?? Mambo yakutekana na kuuana kwanini??
Ni kweli hizi nchi za raisi mungu mtu sio salamaNdio muache kuiponda sasa mkuu, serikali ni kama baba yalo yapasa umuheshimu na umseme kwa staha
HakikaPM huko tulishavuka, labda wanaokuja nyumbani, Nchi yoyote inayoua Raia ili kuokoa Watawala haitofika popote
Hili ni kweli kuna ID zinakuja zinapotea halafu za mademuMnaotafuta wanawake JF ndio mnashida, hizo "honey trap" ndiyo kazi zao kuwadaka kurahisi.
Jikite kwenye madaAisee
Ndani yaa mwezi mmoja umegonga messeji 1214
Maana yake ulikuwa unatuma messeji 40 kwa siku
Sio mchezo
View attachment 3178476
Umekosa kazi ya kufanyaSawa lucas
Angalizo zuriHabari
Kuweni makini member wenzangu kwa hali inayoendelea nchini ya kutekana kuwa mwangalifu na watu wanaokuja PM kama we ni mtu wa kuiponda serikali..
NB: Kinga ni bora kuliko tiba
Aisee ni Abdul nini?!Habari
Kuweni makini member wenzangu kwa hali inayoendelea nchini ya kutekana kuwa mwangalifu na watu wanaokuja PM kama we ni mtu wa kuiponda serikali..
NB: Kinga ni bora kuliko tiba
MafweleAisee ni Abdul nini?!
Tamaa inaponza sana, umakini unahitajika.Umenena vyema jambo la muhimu ni kuwa makini wasiojulikana wapo wengi humu wanakuja kwa njia za mademu
Habari
Kuweni makini member wenzangu kwa hali inayoendelea nchini ya kutekana kuwa mwangalifu na watu wanaokuja PM kama we ni mtu wa kuiponda serikali..
NB: Kinga ni bora kuliko tiba
Ni maumivu makubwa sana kuishi kama digidigi kwenye nchi yenye utawala wa Sheria.Hili swali gumu kujibu mi mwenyewe sijui