Richard
JF-Expert Member
- Oct 23, 2006
- 14,939
- 20,399
Ukielezea tu bila kujimwambafwai kuwa "ooh nina kitu ambacho ninyi hamna-INTELLIGENCE" inatosha.Tatizo hamtumii akili. Mnawaona Watanzania maf*la. Muda huu watu wanataka kufahamu Jiwe yu hai au la nyie mnaleta porojo zenu. Mmewalisha watu matango pori kwa stori za kutengenezwa na TISS kuwa Jiwe yupo Nairobi mara yupo India, na sasa mnatafuta pa kutokea.
Mngekuwa na akili nzuri mngesubiri hili jambo kubwa lipite ndo mhangaike nami, maana jitihada zenu kwa sasa zinawaumbua tu - wenye akili wanajiuliza "ah mbona hawa wanamwandama huyu anayejibidiisha kutufahamisha kinachoendelea chini ya kapeti"? Tatizo mmejipa hatimiliki ya ukweli, mnapokosa cha kudanganya watu basi kila anayeeleza ukweli anakuwa mbaya wenu. Acheni kutumika.
Pia kwa taarifa tu, Kitengo kimefanya bidii endelevu dhidi yangu kwa miaka lukuki lakini hawajafanikiwa. Musiba nae kahangaika mno lakini ndo kwanza ananiongezea followers. Nina kitu ambacho ninyi hamna: INTELLIGENCE.
Intelligence hupimwa na wataalam au AI kwa viwango na mtu hajisifu.