mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 45,751
- 55,787
Habarini?
Hawa jamaa wa halotel wanachofanya si kizuri.
Leo mchana nilijiunga kifurushi cha mitandao yote cha 499 na cha MB 110 jumla ni sh 1000.
Sasa kwa bahati mbaya nilijiunga kifurushi cha halo tel kwenda halotel nilipo mpigia mtu wa tigo salio lilikata.
Nikapanic na kuangalia salio cha ajabu nikakuta kuna dakika 20 za halo tel kwenda halotel.
Lakini MB ZIPO 105.NI KASHANGAA.
imekuwaje MB ziwe 105 wakati nilijiunga kifurushi cha MB 110 na isitoshe nilijiunga kifurushi cha mitandao yote ( kwa bahati mbaya)na wakanipa MB 5.jumla zikawa MB 115.hizo MB 10 zimekwenda wapiii?wakati sikutumia internet ?nikagundua kwamba hawa jamaa wanatupiga juu kwa juu.unaweza ukajiunga kifurushi labda cha MB 300.wakakufanyia ujanja wakakupa 250.na vile watu tukisha jiunga bando tuna kimbilia moja kwq moja kuwasha data.ndo imetoka hyo.IMEKULA KWETU.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa jamaa wa halotel wanachofanya si kizuri.
Leo mchana nilijiunga kifurushi cha mitandao yote cha 499 na cha MB 110 jumla ni sh 1000.
Sasa kwa bahati mbaya nilijiunga kifurushi cha halo tel kwenda halotel nilipo mpigia mtu wa tigo salio lilikata.
Nikapanic na kuangalia salio cha ajabu nikakuta kuna dakika 20 za halo tel kwenda halotel.
Lakini MB ZIPO 105.NI KASHANGAA.
imekuwaje MB ziwe 105 wakati nilijiunga kifurushi cha MB 110 na isitoshe nilijiunga kifurushi cha mitandao yote ( kwa bahati mbaya)na wakanipa MB 5.jumla zikawa MB 115.hizo MB 10 zimekwenda wapiii?wakati sikutumia internet ?nikagundua kwamba hawa jamaa wanatupiga juu kwa juu.unaweza ukajiunga kifurushi labda cha MB 300.wakakufanyia ujanja wakakupa 250.na vile watu tukisha jiunga bando tuna kimbilia moja kwq moja kuwasha data.ndo imetoka hyo.IMEKULA KWETU.
Sent using Jamii Forums mobile app