sasa mtoto wa kiume unataka kuremba vuzi tena...kweli tunapoteza majirali
af mnashangaa kwanini wanawake wanakuwa wasagaji,sas kwanini mtu ujiweke wave kule mahala?ah mi hata sielewi
si ndio hapo sasa!kina The Boss na Dark City plus pacha wangu Snowball,wanafunzi wangu Asprin na Kaizer wana kazi sana kuwaeleza hawa vijana mwanaume wa kweli anatakiwa kuonekanaje hata hayo maeneo,mi sipati picha binti anavua boxer ya mpenzi wake anakutana na relaxer?ukiona hivyo ujua ama kuna mtu huwa anamringishia au anazilainisha ili zichezewechezewe...