dubu
JF-Expert Member
- Oct 18, 2011
- 3,496
- 3,461
Waziri Mkuchika:” Wakuu wa Wilaya/ Mikoa wanaojimwambafai msiniharibie kazi yangu ”
Waziri wa Nchi ofisi ya Rais Utumishi na Utawala Bora wakati akijibu hoja za Wabunge amewataka wakuu wa Mikoa na Wilaya kuzingatia Sheria inayowapa madaraka ya masaa ya kuwaweka watu ndani ili wasimuharibie kazi yake kwani yeye ni Waziri wa Utawala Bora na bado anaipenda nafasi yake.
wengi wa viongozi hao wamekuwa wakikiuka sheria kwa kufanya kinyume na sheria inavyotaka ambapo pia ametumia muda huo kuwaonya.
“Mkuu wa mkoa amepewa saa 48 za kumuweka mtu ndani lakini nachotaka kusema sio lazima wewe umuweke ndani, tuache kujifanya mwamba na naomba msiniharibie mambo mimi ndio Waziri wa Utawala bora”.
Waziri wa Nchi ofisi ya Rais Utumishi na Utawala Bora wakati akijibu hoja za Wabunge amewataka wakuu wa Mikoa na Wilaya kuzingatia Sheria inayowapa madaraka ya masaa ya kuwaweka watu ndani ili wasimuharibie kazi yake kwani yeye ni Waziri wa Utawala Bora na bado anaipenda nafasi yake.
wengi wa viongozi hao wamekuwa wakikiuka sheria kwa kufanya kinyume na sheria inavyotaka ambapo pia ametumia muda huo kuwaonya.
“Mkuu wa mkoa amepewa saa 48 za kumuweka mtu ndani lakini nachotaka kusema sio lazima wewe umuweke ndani, tuache kujifanya mwamba na naomba msiniharibie mambo mimi ndio Waziri wa Utawala bora”.