Acha hasira msaidie jamaa hali si shwari.Hivi mkionaga zile mashine za kunyolea ndevu zinauzwa madukani na super Market huwa unadhani kazi yake ni nini? na je hata hizi dawa after shave bado huji hata tafsiri yake kwa Kiswahili ni nini? endelea kuwashwa ili next time ndio utakuwa na akili.