Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 137,303
- 271,559
Hili ni bora likafahamika mapema tu kwa watu wote, Hatuwezi kusahau Mauaji ya maelfu ya Watanganyika kwa gharama ya hela za madafu walizopewa akina Bitchuka, uhai wa binadamu haujawahi kununuliwa kwa fedha yoyote n.a. hasa fedha duni kama ya kibongo
Kwahiyo Maigizo ya kiwango cha chini kama haya yanayofanyika yakisimamiwa na viongozi Duni kama Mwana FA hayatatusahaulisha uchafu ule uliopangwa.
Sina Lengo la kuzuia riziki za wazee hao ambao ni wanamuziki wakongwe, Bali napinga MARADHI YAO KUTUMIKA KAMA DEKIO LA KUSAFISHA WALIOKATALIWA DUNIANI N.A. MBINGUNI
Tuache kabisa kutumia njia za mkato kujisafisha dhidi ya Mauaji ya Makusudi, Hakuna Mwananchi yoyote atakayepumbazwa n.a. mbinu hiyo ya kichovu
Naomba kuwasilisha.
Kwahiyo Maigizo ya kiwango cha chini kama haya yanayofanyika yakisimamiwa na viongozi Duni kama Mwana FA hayatatusahaulisha uchafu ule uliopangwa.
Sina Lengo la kuzuia riziki za wazee hao ambao ni wanamuziki wakongwe, Bali napinga MARADHI YAO KUTUMIKA KAMA DEKIO LA KUSAFISHA WALIOKATALIWA DUNIANI N.A. MBINGUNI
Tuache kabisa kutumia njia za mkato kujisafisha dhidi ya Mauaji ya Makusudi, Hakuna Mwananchi yoyote atakayepumbazwa n.a. mbinu hiyo ya kichovu
Naomba kuwasilisha.