Kuwapa hela Rehani Bichuka, Zahir Zoro pamoja na kuasili Mtoto aliyeokotwa Jalalani hakutamsafisha Samia Suluhu na unyama wa octoba 29

Kuwapa hela Rehani Bichuka, Zahir Zoro pamoja na kuasili Mtoto aliyeokotwa Jalalani hakutamsafisha Samia Suluhu na unyama wa octoba 29

Hili ni bora likafahamika mapema tu kwa watu wote, Hatuwezi kusahau Mauaji ya maelfu ya Watanganyika kwa gharama ya hela za madafu walizopewa akina Bitchuka, uhai wa binadamu haujawahi kununuliwa kwa fedha yoyote n.a. hasa fedha duni kama ya kibongo

Kwahiyo Maigizo ya kiwango cha chini kama haya yanayofanyika yakisimamiwa na viongozi Duni kama Mwana FA hayatatusahaulisha uchafu ule uliopangwa.

Sina Lengo la kuzuia riziki za wazee hao ambao ni wanamuziki wakongwe, Bali napinga MARADHI YAO KUTUMIKA KAMA DEKIO LA KUSAFISHA WALIOKATALIWA DUNIANI N.A. MBINGUNI

Tuache kabisa kutumia njia za mkato kujisafisha dhidi ya Mauaji ya Makusudi, Hakuna Mwananchi yoyote atakayepumbazwa n.a. mbinu hiyo ya kichovu

Naomba kuwasilisha.
Na mama yake Yule mwigizaji Marehemu ya filamu kapewa "kilainishi"
 
Usiwe unapenda kuongelea jambo lako la kumkataa kiongozi flan ukihusisha na uma wa watz. Nyumbu mliomkataa na vibaka waliochinjwa Ndo uwe unawahisisha na ufia dini wako. So sad ni kwamba utakufa nacho kidiba cha roho.
 
Hili ni bora likafahamika mapema tu kwa watu wote, Hatuwezi kusahau Mauaji ya maelfu ya Watanganyika kwa gharama ya hela za madafu walizopewa akina Bitchuka, uhai wa binadamu haujawahi kununuliwa kwa fedha yoyote n.a. hasa fedha duni kama ya kibongo

Kwahiyo Maigizo ya kiwango cha chini kama haya yanayofanyika yakisimamiwa na viongozi Duni kama Mwana FA hayatatusahaulisha uchafu ule uliopangwa.

Sina Lengo la kuzuia riziki za wazee hao ambao ni wanamuziki wakongwe, Bali napinga MARADHI YAO KUTUMIKA KAMA DEKIO LA KUSAFISHA WALIOKATALIWA DUNIANI N.A. MBINGUNI

Tuache kabisa kutumia njia za mkato kujisafisha dhidi ya Mauaji ya Makusudi, Hakuna Mwananchi yoyote atakayepumbazwa n.a. mbinu hiyo ya kichovu

Naomba kuwasilisha.
Askofu Bagonza PhD anakwambia shopping list
 
Usiwe unapenda kuongelea jambo lako la kumkataa kiongozi flan ukihusisha na uma wa watz. Nyumbu mliomkataa na vibaka waliochinjwa Ndo uwe unawahisisha na ufia dini wako. So sad ni kwamba utakufa nacho kidiba cha roho.
Huna hoja
 
Hili ni bora likafahamika mapema tu kwa watu wote, Hatuwezi kusahau Mauaji ya maelfu ya Watanganyika kwa gharama ya hela za madafu walizopewa akina Bitchuka, uhai wa binadamu haujawahi kununuliwa kwa fedha yoyote n.a. hasa fedha duni kama ya kibongo

Kwahiyo Maigizo ya kiwango cha chini kama haya yanayofanyika yakisimamiwa na viongozi Duni kama Mwana FA hayatatusahaulisha uchafu ule uliopangwa.

Sina Lengo la kuzuia riziki za wazee hao ambao ni wanamuziki wakongwe, Bali napinga MARADHI YAO KUTUMIKA KAMA DEKIO LA KUSAFISHA WALIOKATALIWA DUNIANI N.A. MBINGUNI

Tuache kabisa kutumia njia za mkato kujisafisha dhidi ya Mauaji ya Makusudi, Hakuna Mwananchi yoyote atakayepumbazwa n.a. mbinu hiyo ya kichovu

Naomba kuwasilisha.
Haki na uwajibikaji ni muhimu kuliko haya maigizo yao pumba tupu na wananchi tumewakataaa
 
Nchi imeshatulia hata wafiwa wameshagawana mali za marehemu..Kijana leta mada mpya 🤣🤣
 
Sasa kama kumuasili mtoto aliyetupwa sio jema kwenu lipi litakuwa jema? Rais angekuwa Lissu huyo mtoto angeachwa afe. CHADEMA mna ukatili wa hali ya juu sana. Bitchuka na Zorro wanapambania uhai wao ila nyie mnaona ni maigizo wao kusaidiwa? Mna laana mbaya. Watanzania wataendelea kuwaadhibu kwenye sanduku la kura kila inapotokea nafasi ya kufanya hivyo.
 
Chuki = kuchukua sumu kali halafu unaiweka kinywani mwako ukitarajia afe adui yako.
Never adui yako hatakufa, utakufa wewe .
Punguza chuki.
Nyie wapuuzi hamstahili kuishi uraiani. Hamna shukrani, hamujui mnachokitaka.
Kila siku agenda yenu kuu ni kusubiri nini kinatrend mpate kukizungumzia.
Miaka inakwenda, uchaguzi umekwisha na mkifanya utoto 20230 hampati tena hata Jimbo moja
 
Sasa kama kumuasili mtoto aliyetupwa sio jema kwenu lipi litakuwa jema? Rais angekuwa Lissu huyo mtoto angeachwa afe. CHADEMA mna ukatili wa hali ya juu sana. Bitchuka na Zorro wanapambania uhai wao ila nyie mnaona ni maigizo wao kusaidiwa? Mna laana mbaya. Watanzania wataendelea kuwaadhibu kwenye sanduku la kura kila inapotokea nafasi ya kufanya hivyo.
wapuuzi sana hawa mbwa koko
 
Hili ni bora likafahamika mapema tu kwa watu wote, Hatuwezi kusahau Mauaji ya maelfu ya Watanganyika kwa gharama ya hela za madafu walizopewa akina Bitchuka, uhai wa binadamu haujawahi kununuliwa kwa fedha yoyote n.a. hasa fedha duni kama ya kibongo

Kwahiyo Maigizo ya kiwango cha chini kama haya yanayofanyika yakisimamiwa na viongozi Duni kama Mwana FA hayatatusahaulisha uchafu ule uliopangwa.

Sina Lengo la kuzuia riziki za wazee hao ambao ni wanamuziki wakongwe, Bali napinga MARADHI YAO KUTUMIKA KAMA DEKIO LA KUSAFISHA WALIOKATALIWA DUNIANI N.A. MBINGUNI

Tuache kabisa kutumia njia za mkato kujisafisha dhidi ya Mauaji ya Makusudi, Hakuna Mwananchi yoyote atakayepumbazwa n.a. mbinu hiyo ya kichovu

Naomba kuwasilisha.
Eti unaua watoto na vijana wa miaka 10-30, kwa makumi halafu unawapa wazee wawili fedha. Kweli muuaji hana aibu.
 
Hili ni bora likafahamika mapema tu kwa watu wote, Hatuwezi kusahau Mauaji ya maelfu ya Watanganyika kwa gharama ya hela za madafu walizopewa akina Bitchuka, uhai wa binadamu haujawahi kununuliwa kwa fedha yoyote n.a. hasa fedha duni kama ya kibongo

Kwahiyo Maigizo ya kiwango cha chini kama haya yanayofanyika yakisimamiwa na viongozi Duni kama Mwana FA hayatatusahaulisha uchafu ule uliopangwa.

Sina Lengo la kuzuia riziki za wazee hao ambao ni wanamuziki wakongwe, Bali napinga MARADHI YAO KUTUMIKA KAMA DEKIO LA KUSAFISHA WALIOKATALIWA DUNIANI N.A. MBINGUNI

Tuache kabisa kutumia njia za mkato kujisafisha dhidi ya Mauaji ya Makusudi, Hakuna Mwananchi yoyote atakayepumbazwa n.a. mbinu hiyo ya kichovu

Naomba kuwasilisha.
So asitoe msaada?
 
Hili ni bora likafahamika mapema tu kwa watu wote, Hatuwezi kusahau Mauaji ya maelfu ya Watanganyika kwa gharama ya hela za madafu walizopewa akina Bitchuka, uhai wa binadamu haujawahi kununuliwa kwa fedha yoyote n.a. hasa fedha duni kama ya kibongo

Kwahiyo Maigizo ya kiwango cha chini kama haya yanayofanyika yakisimamiwa na viongozi Duni kama Mwana FA hayatatusahaulisha uchafu ule uliopangwa.

Sina Lengo la kuzuia riziki za wazee hao ambao ni wanamuziki wakongwe, Bali napinga MARADHI YAO KUTUMIKA KAMA DEKIO LA KUSAFISHA WALIOKATALIWA DUNIANI N.A. MBINGUNI

Tuache kabisa kutumia njia za mkato kujisafisha dhidi ya Mauaji ya Makusudi, Hakuna Mwananchi yoyote atakayepumbazwa n.a. mbinu hiyo ya kichovu

Naomba kuwasilisha.
Wapuuzi kweli nyinyi CHADEMA, Rais amekwambia kwamba anayoyafanya lengo ni kusafisha jina lake?.

Jiweke kwenye nafasi za Mzee Zorro na Bitchuka na wote wanaotumia nguvu katika kuwatunza katika udhaifu wa uzee wao kabla hujaandika mashudu humu jukwaani.
 
Back
Top Bottom