Curriculum Specialist
JF-Expert Member
- Oct 8, 2007
- 2,731
- 749
Mbunge akichaguliwa jimboni hawezi fanya kazi za mbunge kabla hajaapishwa kuwa mbunge na hivyo kwakuwa waziri anateuliwa miongoni mwa wabunge, waziri hawezi kuteuliwa na kuanza kazi zq uwaziri kabla ya kuapishwa kiapo cha bunge! Hii tafsiri rahidi na kwamba hivi viapo vinategemeana lazima uvipata vyote na utaweza kutekeleza majukumu yako ya uwaziri maana hiyo kazi ya uwaziri ni kaxi ya bunge maana ni wajibu wa bunge kuisimamia serikali! Sijadoma shetia lakini baada ya kupitia vifungu hivi kwenye katiba na kuangalia practices za nyumba ni wazi hapa katiba imesiginwa!