kuku dume
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 414
- 62
Jamani Wakuu!
Jeshi la polisi limekuwa likitumia nguvu kupita kiasi kushambulia wananchi ambao mara nyingi huwa wanatekeleza haki yao ya KIKATIBA.
Moyo unaniuma kwa kuwa vitendo hivyo vya jeshi letu vina madhara lukuki kwa jamii yetu ila kubwa zaidi ni kuzuia haki na kusababisha majeraha, vilema na wakati mwingine vifo.
Ninasikitika kwamba tunawapa kichwa polisi wetu kutekeleza unyama kwa kuwa TUNATUMIA kodi za wananchi kujitibu.
Kwa kipindi hiki kuna VVU na vimelea vingine vya magonjwa ambavyo huenea kwa njia ya damu lakina nashangaa bado wanatumia RUNGU moja kupiga watu lukuki. Tuko tayari kulea taifa la maradhi?
Okoa Watanzania. Payuka wakati wa katiba mpya.
Jeshi la polisi limekuwa likitumia nguvu kupita kiasi kushambulia wananchi ambao mara nyingi huwa wanatekeleza haki yao ya KIKATIBA.
Moyo unaniuma kwa kuwa vitendo hivyo vya jeshi letu vina madhara lukuki kwa jamii yetu ila kubwa zaidi ni kuzuia haki na kusababisha majeraha, vilema na wakati mwingine vifo.
Ninasikitika kwamba tunawapa kichwa polisi wetu kutekeleza unyama kwa kuwa TUNATUMIA kodi za wananchi kujitibu.
Kwa kipindi hiki kuna VVU na vimelea vingine vya magonjwa ambavyo huenea kwa njia ya damu lakina nashangaa bado wanatumia RUNGU moja kupiga watu lukuki. Tuko tayari kulea taifa la maradhi?
Okoa Watanzania. Payuka wakati wa katiba mpya.