Kuwa wa kwanza kupinga unyama

kuku dume

JF-Expert Member
Apr 22, 2012
414
62
Jamani Wakuu!

Jeshi la polisi limekuwa likitumia nguvu kupita kiasi kushambulia wananchi ambao mara nyingi huwa wanatekeleza haki yao ya KIKATIBA.

Moyo unaniuma kwa kuwa vitendo hivyo vya jeshi letu vina madhara lukuki kwa jamii yetu ila kubwa zaidi ni kuzuia haki na kusababisha majeraha, vilema na wakati mwingine vifo.

Ninasikitika kwamba tunawapa kichwa polisi wetu kutekeleza unyama kwa kuwa TUNATUMIA kodi za wananchi kujitibu.

Kwa kipindi hiki kuna VVU na vimelea vingine vya magonjwa ambavyo huenea kwa njia ya damu lakina nashangaa bado wanatumia RUNGU moja kupiga watu lukuki. Tuko tayari kulea taifa la maradhi?

Okoa Watanzania. Payuka wakati wa katiba mpya.
 
Jamani Wakuu!

Jeshi la polisi limekuwa likitumia nguvu kupita kiasi kushambulia wananchi ambao mara nyingi huwa wanatekeleza haki yao ya KIKATIBA.

Moyo unaniuma kwa kuwa vitendo hivyo vya jeshi letu vina madhara lukuki kwa jamii yetu ila kubwa zaidi ni kuzuia haki na kusababisha majeraha, vilema na wakati mwingine vifo.

Ninasikitika kwamba tunawapa kichwa polisi wetu kutekeleza unyama kwa kuwa TUNATUMIA kodi za wananchi kujitibu.

Kwa kipindi hiki kuna VVU na vimelea vingine vya magonjwa ambavyo huenea kwa njia ya damu lakina nashangaa bado wanatumia RUNGU moja kupiga watu lukuki. Tuko tayari kulea taifa la maradhi?

Okoa Watanzania. Payuka wakati wa katiba mpya.

Hawajui walitendalo!
Kuna kipindi jeshi la polisi walikuwa na programu ya kuzuia maambukizi ya ukimwi, wamesahau marungu yao pia yanaweza kueneza ukimwi!
 
Hawajui walitendalo!
Kuna kipindi jeshi la polisi walikuwa na programu ya kuzuia maambukizi ya ukimwi, wamesahau marungu yao pia yanaweza kueneza ukimwi!

lazima tuiweke hii wazi kwenye katiba mpya kama polisi atakutibu kwa majeraha atakayo kusababishia pamoja na matatizo mengine au la.
 
Back
Top Bottom