Papi Chulo
JF-Expert Member
- Jun 8, 2018
- 6,260
- 7,397
Halafu maajab zaidi sisi wananchi tunaangalia halafu tunapotezeaHalafu mtu kwa ujasiri mkubwa na bila haya anautangazia umma kwamba wanamvua ubunge kwa sababu hawajui Lissu alipo!!!!!!!!?????
Mi nafikiri sisi watanzania ndo tuna tatizo zaidi