Kuwa makini na utaratibu mpya kwa wanaotumia TTCL usije ukalizwa!

Paa

JF-Expert Member
Jun 12, 2015
1,449
2,924
Leo asubuhi nimeweka vocha ya sh 1000 ya ttcl, then nikajiunga vifurushi viwili vya sh 500 kila kimoja vya data MB 600, kwahiyo jumla ilitakiwa nipate GB1.2.

Mimi huwa nina tabia ya kuangalia salio la kawaida kabla sijawasha data kama wameshachukua pesa ili nisije nikaingia mkenge kwa kuwasha data pesa ikaliwa.

Sasa bana, wakati ninafanya matumizi ya bundle langu nikatumiwa ujumbe kuwa zimebakia MB50 na kucheki ika wa kweli. Hapo matumizi yangu hayakuwa yamefika hata GB1 na baada ya dakika chache nikatumiwa ujumbe mwingine kuwa data zimekwisha.

Ikanibidi niwapigie huduma kwa wateja kuulizia kulikoni nikaambiwa kuwa
1.Ukishajiunga na bundle moja lazima usubiri liishe ndipo ujiunge tena KWASABABU ZA KIUSALAMA
2.Pesa yako haitaweza kurudishwa, na wala hutapata kifirushi kingine.
3.Kwahiyo hatuna namna ya kukusaidia.

Hela yangu inaniuma mpaka sasa!

Ujumbe huu naomba umfikie
Jiwe
TCRA
TTCL
@Na wanaJF wote wataousoma.
 
Wewe tu inawezekana hukupata ujumbe mapema,walishatuma meseji kwamba hakuna kudabo kifurushi,
 
Voda ndio usithubutu kabisaaa yani mtu kuunga Gb 1 na ikaisha ndani ya dakika 15 bila kucheki videp yoyote wala kufanya updates za apps ni kawaida yao kabisaaa.
mimi voda ndiyo nawakubari kuna halotel sasa yani ukiunga bundle usithubutu kutazama vidoe yoyote yani usithubutu kabisa kwa mustakabari wa bundle lako. voda kwangu naona uwa bundle inadumu
 
Leo asubuhi nimeweka vocha ya sh 1000 ya ttcl, then nikajiunga vifurushi viwili vya sh 500 kila kimoja vya data MB 600, kwahiyo jumla ilitakiwa nipate GB1.2.

Mimi huwa nina tabia ya kuangalia salio la kawaida kabla sijawasha data kama wameshachukua pesa ili nisije nikaingia mkenge kwa kuwasha data pesa ikaliwa.

Sasa bana, wakati ninafanya matumizi ya bundle langu nikatumiwa ujumbe kuwa zimebakia MB50 na kucheki ika wa kweli. Hapo matumizi yangu hayakuwa yamefika hata GB1 na baada ya dakika chache nikatumiwa ujumbe mwingine kuwa data zimekwisha.

Ikanibidi niwapigie huduma kwa wateja kuulizia kulikoni nikaambiwa kuwa
1.Ukishajiunga na bundle moja lazima usubiri liishe ndipo ujiunge tena KWASABABU ZA KIUSALAMA
2.Pesa yako haitaweza kurudishwa, na wala hutapata kifirushi kingine.
3.Kwahiyo hatuna namna ya kukusaidia.

Hela yangu inaniuma mpaka sasa!

Ujumbe huu naomba umfikie
Jiwe
TCRA
TTCL
@Na wanaJF wote wataousoma.
Hii mitandao mingine ya kazi gani jamani ?
 
Jamani mi juzi kati nilitumiwa meseji juu ya mabadiliko hayo. Hivyo kama wangekuwa na Nia mbaya sidhani kama wangesambaaza ujumbe ule kwa wateja wao. Sijui tu namna ya kuattach hapa, ningewawekea.
 
Mpendwa mteja, Tunapenda kukutaarifu kuwa vifurushi vya wanafunzi (Boom pack) havina malimbikizo ya ujazo. Tumia kifurushi chako hadi kiishe ndipo ujiunge tena.

Hii ni nyingine waliyonitumia
 
Jamani mi juzi kati nilitumiwa meseji juu ya mabadiliko hayo. Hivyo kama wangekuwa na Nia mbaya sidhani kama wangesambaaza ujumbe ule kwa wateja wao. Sijui tu namna ya kuattach hapa, ningewawekea.
Ni kweli kabisa, huyo anaelalamika ni makosa yake mwenyewe
 
Leo asubuhi nimeweka vocha ya sh 1000 ya ttcl, then nikajiunga vifurushi viwili vya sh 500 kila kimoja vya data MB 600, kwahiyo jumla ilitakiwa nipate GB1.2.

Mimi huwa nina tabia ya kuangalia salio la kawaida kabla sijawasha data kama wameshachukua pesa ili nisije nikaingia mkenge kwa kuwasha data pesa ikaliwa.

Sasa bana, wakati ninafanya matumizi ya bundle langu nikatumiwa ujumbe kuwa zimebakia MB50 na kucheki ika wa kweli. Hapo matumizi yangu hayakuwa yamefika hata GB1 na baada ya dakika chache nikatumiwa ujumbe mwingine kuwa data zimekwisha.

Ikanibidi niwapigie huduma kwa wateja kuulizia kulikoni nikaambiwa kuwa
1.Ukishajiunga na bundle moja lazima usubiri liishe ndipo ujiunge tena KWASABABU ZA KIUSALAMA
2.Pesa yako haitaweza kurudishwa, na wala hutapata kifirushi kingine.
3.Kwahiyo hatuna namna ya kukusaidia.

Hela yangu inaniuma mpaka sasa!

Ujumbe huu naomba umfikie
Jiwe
TCRA
TTCL
@Na wanaJF wote wataousoma.
Nimeipenda hiyo tag ya Jiwe
 
Voda ndio usithubutu kabisaaa yani mtu kuunga Gb 1 na ikaisha ndani ya dakika 15 bila kucheki videp yoyote wala kufanya updates za apps ni kawaida yao kabisaaa.
Kwa Vodacom nina uhakika 100% walinifanyia hivo 2014 nikawapigia wakazingua, nikatupa sim card hapohapo.
 
Voda ndio usithubutu kabisaaa yani mtu kuunga Gb 1 na ikaisha ndani ya dakika 15 bila kucheki videp yoyote wala kufanya updates za apps ni kawaida yao kabisaaa.
Aiseee yaan Voda kila siku wanabadilisha vifurushi Kero tupu!!
 
Back
Top Bottom