ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 23,621
- 56,937
Ipo kazi nzuri kati ya hiyo kwa mtu ambaye ana ari ya kupambana kutoboa kirahisi.changamoto ninayoijua Mimi kwenye madini ni kwamba lazima uyajue madini lazima uyajue aidha uyasomee au uzoefu.na hata udalali uwe mzoefu na mwenye NGUVU ya ushawishi MPAka kuachiwa kuendesha mchongo.
All in all sekta hizi mbili zimewapa watu fedha nyingi bila kutumia nguvu sana .Hata hivyo mafanikio ya mtu yanabaki kuwa kwenye mawazo yako..Hela zio Tanzania michongo ya kukupatia millions 50 io ni uwoga wako tu kutojiingiza kwenye madini au udalali wa viwanja na majumba na mali.
Usiseme kwamba hizo kazi ni ngumu ila wewe ndo huja penetrate kwenye minara hiyo miwili kiundani.Maarifa tayari unayo mengi na hapa jf tahadhari za watu na nondo zao kuhusu hizo sekta ni tosha kwa wewe kuwa na maarifa..ingia field sasa tafuta network ya wauzaji mali kubwa na watafutaji mali kubwa.
All in all sekta hizi mbili zimewapa watu fedha nyingi bila kutumia nguvu sana .Hata hivyo mafanikio ya mtu yanabaki kuwa kwenye mawazo yako..Hela zio Tanzania michongo ya kukupatia millions 50 io ni uwoga wako tu kutojiingiza kwenye madini au udalali wa viwanja na majumba na mali.
Usiseme kwamba hizo kazi ni ngumu ila wewe ndo huja penetrate kwenye minara hiyo miwili kiundani.Maarifa tayari unayo mengi na hapa jf tahadhari za watu na nondo zao kuhusu hizo sekta ni tosha kwa wewe kuwa na maarifa..ingia field sasa tafuta network ya wauzaji mali kubwa na watafutaji mali kubwa.