Inamonga
JF-Expert Member
- Jun 25, 2016
- 779
- 473
Habari wakuu?
Naomba msaada wa kisheria kama ifuatavyo..
Nimeajiriwa kwenye kampuni binafsi na nina mkataba wa continous( wakudumu)..
Sasa mwajiri anataka tuingie mkataba mpya wa mwaka mmoja mmoja na ile ya mwanzo tuachane nayo..
Je? Kuna benefits zozote anazo takiwa kunipa kabla ya kusign mkataba mpya..?
Naomba kuwakilisha..
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba msaada wa kisheria kama ifuatavyo..
Nimeajiriwa kwenye kampuni binafsi na nina mkataba wa continous( wakudumu)..
Sasa mwajiri anataka tuingie mkataba mpya wa mwaka mmoja mmoja na ile ya mwanzo tuachane nayo..
Je? Kuna benefits zozote anazo takiwa kunipa kabla ya kusign mkataba mpya..?
Naomba kuwakilisha..
Sent using Jamii Forums mobile app