Kuvunja poverty circle sio kitu rahisi

Kuvunja poverty circle sio kitu rahisi

doppla2

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2014
Posts
1,391
Reaction score
1,458
Hello JF comrades
Ni matumaini yangu mko poa pande zote of this planet Earth.
Kuna jambo moja limenicost na ninaelewa ni changamoto kwa wengi pia. So kupitia platform hii naomba kufungua mjadala ili tushare uzoefu.

Piga ua, inama inuka kuvunja poverty circle sio kitu rahisi.

Poor daddy leads to poor sons and daughters and then poor daughters and sons leads to poor family and then poor sons and daughters. And the circle goes on.

Namkumbuka jamaa mmoja rafiki yangu tuliotokea kijiji kimoja wilaya X mkoani Geita. Alikua wa Kwanzaa katika familia ya watoto 12. Wazazi wake walikua masikini sana hivyo walijikuta wakiwa trapped in poverty circle.

Jamaa aliishia form four baada ya kusoma kwa kuunga unga sana. Baada ya kumaliza shule alijikita na biashara ya mitumba, akichukua mzigo wa tajiri na kuuzungusha kwenye minada na kile cha juu ndo inakua faida yake.

Katika umri wa miaka 35 alijikuta anageuka kuwa Baba wa familia mbili kufuatia kifo cha baba yake, huku akiachiwa familia ya baba yake, amtunze mama na wadogo zake. Wakati huo tayari yeye pia alikua amekwisha kuoa na ana watoto wawili.

Kwa mazingira ya maisha hayo uku akiwa na kipato duni, familia zote mbili zilijikuta kwenye dimbwi kubwa la umasikini. Wadogo zake wengi tu walilazimika kukatiza masomo na kuanza kuwa wabangaizaji, wale wa kike waliishia kupewa mimba na kuzalia nyumbani.

Familia iliongezeka na hakukuwa na mtu wa kuleta tumaini tena katika familia yao. Mama yao mzazi kutokana na kufanya kazi nzito na misoto ya maisha, kadri siku zilivyosonga afya yake ilianza kuzoofu.
Mwishoni ilikuja kujulikana alikua na ugonjwa wa kifua kikuu na alichelewa kupata matibabu na umauti ulimkuta. Hapa ilikua ni Kama miaka nane baada ya mmewe kufariki.

Baada ya mama yao kufariki, uhalisia wa maisha ujidhihirisha kuwa ubaki home ufe kwa njaa au ujitose duniani kupambana na hali yako, chaguo la pili ndilo lilkua chaguo la wengi na familia ilisambaratika kila mmoja na maisha yake.

My take :
Nimerejea uzoefu huo amabo ni mkasa halisi nilioushuudia katika maisha haya ila lengo langu nilitaka kuonyesha ikiwa wazazi hawatajenga msingi wa familia inakua ngumu sana kuuvunja mzunguko wa umasikini.

Leo ni zaili hata kwa maisha yetu
Unajikuta wewe ndo msomi kwenye familia
Umepata kikazi chako kwa mishahara hii ya kaizari ambayo huishia week ya pili baada y'a kupata monthly salary.

Lakini unajikuta unalazimika kusomesha wadogo zako watatu, uwatunze wazazi wako na wajomba.

Omba Mungu uwe umeo mke ambaye upande wake kuna unafuu, lakini maisha yasivyo na huruma
Mara nyingi ndege wanaofanana huruka pamoja, this means mtu mwenye kipato kidogo uoa wake wanaotoka familia kama yake, hivyo umasikini uzaa umasikini.

Omba Mungu usiwe unaishi kwa sifa uanze kuchukua mikopo ili ukanunue gari tena ya kutembelea amabayo haiingizi kipato chochote ili uonekane unaunafuu kwa maisha ya kitaa.

Tena shukuru Mungu ukiwa umeshamaliza mkopo wa Loan bord, vinginevyo hadi unastafu maisha ni ya kuunga unga tu na full stress.

Point to note :

Bila kujimakinisha kujenga misingi ya familia yako hesabu maumivu kwa kizazi chako pia.

Leo tunasumbuka sana kuvunja our poverty circle kutokana na makosa ya wazazi wetu , we're living the poverty legacy of our poor daddy

Mafanikio makubwa sana kwetu ni ikiwa tutaweza kufanikiwa kuandaa misingi ya watoto wetu ili at least wakue katika misingi huru nje ya umasikini.

Naomba kuwasilisha, karibuni wadau tushirikishane uzoefu na kupendekeza namna bora kabisa za kuvunja poverty cycle.
 
Hello JF comrades
Ni matumaini yangu mko poa pande zote of this planet Earth.
Kuna jambo moja limenicost na ninaelewa ni changamoto kwa wengi pia. So kupitia platform hii naomba kufungua mjadala ili tushare uzoefu.

Piga ua, inama inuka kuvunja poverty circle sio kitu rahisi.

Poor daddy leads to poor sons and daughters and then poor daughters and sons leads to poor family and then poor sons and daughters. And the circle goes on.

Namkumbuka jamaa mmoja rafiki yangu tuliotokea kijiji kimoja wilaya X mkoani Geita. Alikua wa Kwanzaa katika familia ya watoto 12. Wazazi wake walikua masikini sana hivyo walijikuta wakiwa trapped in poverty circle.

Jamaa aliishia form four baada ya kusoma kwa kuunga unga sana. Baada ya kumaliza shule alijikita na biashara ya mitumba, akichukua mzigo wa tajiri na kuuzungusha kwenye minada na kile cha juu ndo inakua faida yake.

Katika umri wa miaka 35 alijikuta anageuka kuwa Baba wa familia mbili kufuatia kifo cha baba yake, huku akiachiwa familia ya baba yake, amtunze mama na wadogo zake. Wakati huo tayari yeye pia alikua amekwisha kuoa na ana watoto wawili.

Kwa mazingira ya maisha hayo uku akiwa na kipato duni, familia zote mbili zilijikuta kwenye dimbwi kubwa la umasikini. Wadogo zake wengi tu walilazimika kukatiza masomo na kuanza kuwa wabangaizaji, wale wa kike waliishia kupewa mimba na kuzalia nyumbani.

Familia iliongezeka na hakukuwa na mtu wa kuleta tumaini tena katika familia yao. Mama yao mzazi kutokana na kufanya kazi nzito na misoto ya maisha, kadri siku zilivyosonga afya yake ilianza kuzoofu.
Mwishoni ilikuja kujulikana alikua na ugonjwa wa kifua kikuu na alichelewa kupata matibabu na umauti ulimkuta. Hapa ilikua ni Kama miaka nane baada ya mmewe kufariki.

Baada ya mama yao kufariki, uhalisia wa maisha ujidhihirisha kuwa ubaki home ufe kwa njaa au ujitose duniani kupambana na hali yako, chaguo la pili ndilo lilkua chaguo la wengi na familia ilisambaratika kila mmoja na maisha yake.

My take :
Nimerejea uzoefu huo amabo ni mkasa halisi nilioushuudia katika maisha haya ila lengo langu nilitaka kuonyesha ikiwa wazazi hawatajenga msingi wa familia inakua ngumu sana kuuvunja mzunguko wa umasikini.

Leo ni zaili hata kwa maisha yetu
Unajikuta wewe ndo msomi kwenye familia
Umepata kikazi chako kwa mishahara hii ya kaizari ambayo huishia week ya pili baada y'a kupata monthly salary.

Lakini unajikuta unalazimika kusomesha wadogo zako watatu, uwatunze wazazi wako na wajomba.

Omba Mungu uwe umeo mke ambaye upande wake kuna unafuu, lakini maisha yasivyo na huruma
Mara nyingi ndege wanaofanana huruka pamoja, this means mtu mwenye kipato kidogo uoa wake wanaotoka familia kama yake, hivyo umasikini uzaa umasikini.

Omba Mungu usiwe unaishi kwa sifa uanze kuchukua mikopo ili ukanunue gari tena ya kutembelea amabayo haiingizi kipato chochote ili uonekane unaunafuu kwa maisha ya kitaa.

Tena shukuru Mungu ukiwa umeshamaliza mkopo wa Loan bord, vinginevyo hadi unastafu maisha ni ya kuunga unga tu na full stress.

Point to note :

Bila kujimakinisha kujenga misingi ya familia yako hesabu maumivu kwa kizazi chako pia.

Leo tunasumbuka sana kuvunja our poverty circle kutokana na makosa ya wazazi wetu , we're living the poverty legacy of our poor daddy

Mafanikio makubwa sana kwetu ni ikiwa tutaweza kufanikiwa kuandaa misingi ya watoto wetu ili at least wakue katika misingi huru nje ya umasikini.

Naomba kuwasilisha, karibuni wadau tushirikishane uzoefu na kupendekeza namna bora kabisa za kuvunja poverty cycle.
unachozungumza ni kweli kiongozi asilimia kubwa za familia za kimaskini hutegemea sana elimu kuvunja povert circle lkin circle hiyo huendelea kuishi sababu ya hajira kuwa ngumu baada ya shule huku ukixingatia pesa ya mtaji ndo ilitumika kumsomesheaa its so sad ila si wakat wa kuvunjika moyo kwa wale maskini wenzangu cha msingi ni kupambana na kujisacrifice ili generation yako isiishi katika circle uliyoipata kwa wazazi wako...
 
unachozungumza ni kweli kiongozi asilimia kubwa za familia za kimaskini hutegemea sana elimu kuvunja povert circle lkin circle hiyo huendelea kuishi sababu ya hajira kuwa ngumu baada ya shule huku ukixingatia pesa ya mtaji ndo ilitumika kumsomesheaa its so sad ila si wakat wa kuvunjika moyo kwa wale maskini wenzangu cha msingi ni kupambana na kujisacrifice ili generation yako isiishi katika circle uliyoipata kwa wazazi wako...
Thanks for the encouragement
 
Hello JF comrades
Ni matumaini yangu mko poa pande zote of this planet Earth.
Kuna jambo moja limenicost na ninaelewa ni changamoto kwa wengi pia. So kupitia platform hii naomba kufungua mjadala ili tushare uzoefu.

Piga ua, inama inuka kuvunja poverty circle sio kitu rahisi.

Poor daddy leads to poor sons and daughters and then poor daughters and sons leads to poor family and then poor sons and daughters. And the circle goes on.

Namkumbuka jamaa mmoja rafiki yangu tuliotokea kijiji kimoja wilaya X mkoani Geita. Alikua wa Kwanzaa katika familia ya watoto 12. Wazazi wake walikua masikini sana hivyo walijikuta wakiwa trapped in poverty circle.

Jamaa aliishia form four baada ya kusoma kwa kuunga unga sana. Baada ya kumaliza shule alijikita na biashara ya mitumba, akichukua mzigo wa tajiri na kuuzungusha kwenye minada na kile cha juu ndo inakua faida yake.

Katika umri wa miaka 35 alijikuta anageuka kuwa Baba wa familia mbili kufuatia kifo cha baba yake, huku akiachiwa familia ya baba yake, amtunze mama na wadogo zake. Wakati huo tayari yeye pia alikua amekwisha kuoa na ana watoto wawili.

Kwa mazingira ya maisha hayo uku akiwa na kipato duni, familia zote mbili zilijikuta kwenye dimbwi kubwa la umasikini. Wadogo zake wengi tu walilazimika kukatiza masomo na kuanza kuwa wabangaizaji, wale wa kike waliishia kupewa mimba na kuzalia nyumbani.

Familia iliongezeka na hakukuwa na mtu wa kuleta tumaini tena katika familia yao. Mama yao mzazi kutokana na kufanya kazi nzito na misoto ya maisha, kadri siku zilivyosonga afya yake ilianza kuzoofu.
Mwishoni ilikuja kujulikana alikua na ugonjwa wa kifua kikuu na alichelewa kupata matibabu na umauti ulimkuta. Hapa ilikua ni Kama miaka nane baada ya mmewe kufariki.

Baada ya mama yao kufariki, uhalisia wa maisha ujidhihirisha kuwa ubaki home ufe kwa njaa au ujitose duniani kupambana na hali yako, chaguo la pili ndilo lilkua chaguo la wengi na familia ilisambaratika kila mmoja na maisha yake.

My take :
Nimerejea uzoefu huo amabo ni mkasa halisi nilioushuudia katika maisha haya ila lengo langu nilitaka kuonyesha ikiwa wazazi hawatajenga msingi wa familia inakua ngumu sana kuuvunja mzunguko wa umasikini.

Leo ni zaili hata kwa maisha yetu
Unajikuta wewe ndo msomi kwenye familia
Umepata kikazi chako kwa mishahara hii ya kaizari ambayo huishia week ya pili baada y'a kupata monthly salary.

Lakini unajikuta unalazimika kusomesha wadogo zako watatu, uwatunze wazazi wako na wajomba.

Omba Mungu uwe umeo mke ambaye upande wake kuna unafuu, lakini maisha yasivyo na huruma
Mara nyingi ndege wanaofanana huruka pamoja, this means mtu mwenye kipato kidogo uoa wake wanaotoka familia kama yake, hivyo umasikini uzaa umasikini.

Omba Mungu usiwe unaishi kwa sifa uanze kuchukua mikopo ili ukanunue gari tena ya kutembelea amabayo haiingizi kipato chochote ili uonekane unaunafuu kwa maisha ya kitaa.

Tena shukuru Mungu ukiwa umeshamaliza mkopo wa Loan bord, vinginevyo hadi unastafu maisha ni ya kuunga unga tu na full stress.

Point to note :

Bila kujimakinisha kujenga misingi ya familia yako hesabu maumivu kwa kizazi chako pia.

Leo tunasumbuka sana kuvunja our poverty circle kutokana na makosa ya wazazi wetu , we're living the poverty legacy of our poor daddy

Mafanikio makubwa sana kwetu ni ikiwa tutaweza kufanikiwa kuandaa misingi ya watoto wetu ili at least wakue katika misingi huru nje ya umasikini.

Naomba kuwasilisha, karibuni wadau tushirikishane uzoefu na kupendekeza namna bora kabisa za kuvunja poverty cycle.
Sio kweli mkuu maisha yanakila nafasi ya wewe kufanikiwa na kutokufanikiwa usilauma wazazi kwa kufail fight for all weapons that you have trust in me you will never loose your part
 
Mtoa mada uko sahihi...Ukizaliwa masikini kuna uwezekano mkubwa sana wa kufa masikini wewe na kizazi chako...tena sasa hivi maisha haya ya kibepari hata ukijitutumua kusoma ajira hamna.....Ukibahatika kupata kazi ujira mdogo...Zile ajira zenye maslahi makubwa zinaishia kwa watoto wa matajiri tu na wenye wazazi wenye connection kubwa....Kuna msemo usemao maji hufuata mkondo..
 
unachozungumza ni kweli kiongozi asilimia kubwa za familia za kimaskini hutegemea sana elimu kuvunja povert circle lkin circle hiyo huendelea kuishi sababu ya hajira kuwa ngumu baada ya shule huku ukixingatia pesa ya mtaji ndo ilitumika kumsomesheaa its so sad ila si wakat wa kuvunjika moyo kwa wale maskini wenzangu cha msingi ni kupambana na kujisacrifice ili generation yako isiishi katika circle uliyoipata kwa wazazi wako...
Ni kweli wengi utegemea elimu,then wapate kazi ya kuajiriwa, kitu ambacho ni kosa kwa hali ya sasa.MAARIFA ni kitu muhimu sana cha kuvunja chain ya umasikini, mkipata mentor wa kuwaongoza vizuri, mnaweza mkaleta mabadiliko makubwa katika jamii yako.Mimi naamini katika ardhi ukiwekeza vya kutosha na kwa bidii,mfano wengi vijijini bado mapori ni mengi tumshuru Nyerere mzalendo halisi wa vitendo sio wengine wa maneno,kutokuruhusu ardhi kuwa mali binafsi wengi tungekuwa manamba vizazi na vizazi, yaani wapangaji kama Kenya. Sasa huko vijijini familia nzima ikijikita kwenye upandaji wa miti mfano heka 100,baada ya miaka 15 ambayo mtu atapoteza kusoma aje apate ajira familia hio inaweza kupata mapato makubwa sana ambayo yataweza kuibadilisha,jamii husika.Pia ukiweza wapeleke kozi ndogo ndogo wajifunze ujuzi mfano useremala,ufundi, udereva, ushonaji,nk,ujuzi ambao sio lazima ukae darasani mda mwingi,mfano kumuombea kwa wenye ujuzi wajifunze pia ni tools ya kukata chain ya poverty. Sababu poverty ni suala la kwenye akili zaidi kuliko hali halisi.MAARIFA ndo njia pekee ya kuondoa umasikini kupitia smartphone utapata kila aina ya MAARIFA.
 
Inasikitisha sana, unakuta kila ukijitahidi kuna kitu km kinakuvuta nyuma ndio maana mara nyingi masikini tunasingiziaga uchawi kumbe tayari ni poor circle inatusumbua, unakuta kijana anaendelea vizuri kwenye masomo yake anafika mpaka university kinatokea tu kikwazo kinamrudisha nyuma
 
Kwangu mimi nacho amin kipaji pekee alicho nacho mwanangu ndo kitamfanya atoboe maisha, jukumu langu ni kumuendeleza tu. na kumfanya aishi kwenye ndoto zake.
 
Mtoa mada uko sahihi...Ukizaliwa masikini kuna uwezekano mkubwa sana wa kufa masikini wewe na kizazi chako...tena sasa hivi maisha haya ya kibepari hata ukijitutumua kusoma ajira hamna.....Ukibahatika kupata kazi ujira mdogo...Zile ajira zenye maslahi makubwa zinaishia kwa watoto wa matajiri tu na wenye wazazi wenye connection kubwa....Kuna msemo usemao maji hufuata mkondo..
Ukisoma ukiweza vuka mipaka wachina, wanigeria,wacongo wanavuka sana BODA kusaka maisha then wanaleta home,sisi ndo bado tumelala tunaangaliana ndani.Ukitoka nje na akili inabadilika.
 
Tuingie capitalism kama hatutaki hayo ya ndugu
Capitalism ni nzuri kuliko ujamaa maana ya capitalism ni Kazi juu ya Kazi hakuna mjomba kama ujamaa, ni jinsi ya kutap kupata MAARIFA na kuyafanyia Kazi,capitalism usababisha mzunguko Mkubwa sana wa noti,mtaani kuliko ujamaa hivo ni bidii yako tu kwenda spidi.Tusingekumbatia ujamaa tungekuwa mbali sana,ila ardhi tuombe iendelee kuwa ni Mali ya serikali kamwe asiruhusiwe mtu kubinafisha ardhi awe mpangaji tu.
 
unachozungumza ni kweli kiongozi asilimia kubwa za familia za kimaskini hutegemea sana elimu kuvunja povert circle lkin circle hiyo huendelea kuishi sababu ya hajira kuwa ngumu baada ya shule huku ukixingatia pesa ya mtaji ndo ilitumika kumsomesheaa its so sad ila si wakat wa kuvunjika moyo kwa wale maskini wenzangu cha msingi ni kupambana na kujisacrifice ili generation yako isiishi katika circle uliyoipata kwa wazazi wako...
Unaji sacrifice kwa lipi?
Huna mtaji, hakuna ajira kwa walio soma huu mnyororo ni ngumu kuukata
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom