Hello JF comrades
Ni matumaini yangu mko poa pande zote of this planet Earth.
Kuna jambo moja limenicost na ninaelewa ni changamoto kwa wengi pia. So kupitia platform hii naomba kufungua mjadala ili tushare uzoefu.
Piga ua, inama inuka kuvunja poverty circle sio kitu rahisi.
Poor daddy leads to poor sons and daughters and then poor daughters and sons leads to poor family and then poor sons and daughters. And the circle goes on.
Namkumbuka jamaa mmoja rafiki yangu tuliotokea kijiji kimoja wilaya X mkoani Geita. Alikua wa Kwanzaa katika familia ya watoto 12. Wazazi wake walikua masikini sana hivyo walijikuta wakiwa trapped in poverty circle.
Jamaa aliishia form four baada ya kusoma kwa kuunga unga sana. Baada ya kumaliza shule alijikita na biashara ya mitumba, akichukua mzigo wa tajiri na kuuzungusha kwenye minada na kile cha juu ndo inakua faida yake.
Katika umri wa miaka 35 alijikuta anageuka kuwa Baba wa familia mbili kufuatia kifo cha baba yake, huku akiachiwa familia ya baba yake, amtunze mama na wadogo zake. Wakati huo tayari yeye pia alikua amekwisha kuoa na ana watoto wawili.
Kwa mazingira ya maisha hayo uku akiwa na kipato duni, familia zote mbili zilijikuta kwenye dimbwi kubwa la umasikini. Wadogo zake wengi tu walilazimika kukatiza masomo na kuanza kuwa wabangaizaji, wale wa kike waliishia kupewa mimba na kuzalia nyumbani.
Familia iliongezeka na hakukuwa na mtu wa kuleta tumaini tena katika familia yao. Mama yao mzazi kutokana na kufanya kazi nzito na misoto ya maisha, kadri siku zilivyosonga afya yake ilianza kuzoofu.
Mwishoni ilikuja kujulikana alikua na ugonjwa wa kifua kikuu na alichelewa kupata matibabu na umauti ulimkuta. Hapa ilikua ni Kama miaka nane baada ya mmewe kufariki.
Baada ya mama yao kufariki, uhalisia wa maisha ujidhihirisha kuwa ubaki home ufe kwa njaa au ujitose duniani kupambana na hali yako, chaguo la pili ndilo lilkua chaguo la wengi na familia ilisambaratika kila mmoja na maisha yake.
My take :
Nimerejea uzoefu huo amabo ni mkasa halisi nilioushuudia katika maisha haya ila lengo langu nilitaka kuonyesha ikiwa wazazi hawatajenga msingi wa familia inakua ngumu sana kuuvunja mzunguko wa umasikini.
Leo ni zaili hata kwa maisha yetu
Unajikuta wewe ndo msomi kwenye familia
Umepata kikazi chako kwa mishahara hii ya kaizari ambayo huishia week ya pili baada y'a kupata monthly salary.
Lakini unajikuta unalazimika kusomesha wadogo zako watatu, uwatunze wazazi wako na wajomba.
Omba Mungu uwe umeo mke ambaye upande wake kuna unafuu, lakini maisha yasivyo na huruma
Mara nyingi ndege wanaofanana huruka pamoja, this means mtu mwenye kipato kidogo uoa wake wanaotoka familia kama yake, hivyo umasikini uzaa umasikini.
Omba Mungu usiwe unaishi kwa sifa uanze kuchukua mikopo ili ukanunue gari tena ya kutembelea amabayo haiingizi kipato chochote ili uonekane unaunafuu kwa maisha ya kitaa.
Tena shukuru Mungu ukiwa umeshamaliza mkopo wa Loan bord, vinginevyo hadi unastafu maisha ni ya kuunga unga tu na full stress.
Point to note :
Bila kujimakinisha kujenga misingi ya familia yako hesabu maumivu kwa kizazi chako pia.
Leo tunasumbuka sana kuvunja our poverty circle kutokana na makosa ya wazazi wetu , we're living the poverty legacy of our poor daddy
Mafanikio makubwa sana kwetu ni ikiwa tutaweza kufanikiwa kuandaa misingi ya watoto wetu ili at least wakue katika misingi huru nje ya umasikini.
Naomba kuwasilisha, karibuni wadau tushirikishane uzoefu na kupendekeza namna bora kabisa za kuvunja poverty cycle.
Ni matumaini yangu mko poa pande zote of this planet Earth.
Kuna jambo moja limenicost na ninaelewa ni changamoto kwa wengi pia. So kupitia platform hii naomba kufungua mjadala ili tushare uzoefu.
Piga ua, inama inuka kuvunja poverty circle sio kitu rahisi.
Poor daddy leads to poor sons and daughters and then poor daughters and sons leads to poor family and then poor sons and daughters. And the circle goes on.
Namkumbuka jamaa mmoja rafiki yangu tuliotokea kijiji kimoja wilaya X mkoani Geita. Alikua wa Kwanzaa katika familia ya watoto 12. Wazazi wake walikua masikini sana hivyo walijikuta wakiwa trapped in poverty circle.
Jamaa aliishia form four baada ya kusoma kwa kuunga unga sana. Baada ya kumaliza shule alijikita na biashara ya mitumba, akichukua mzigo wa tajiri na kuuzungusha kwenye minada na kile cha juu ndo inakua faida yake.
Katika umri wa miaka 35 alijikuta anageuka kuwa Baba wa familia mbili kufuatia kifo cha baba yake, huku akiachiwa familia ya baba yake, amtunze mama na wadogo zake. Wakati huo tayari yeye pia alikua amekwisha kuoa na ana watoto wawili.
Kwa mazingira ya maisha hayo uku akiwa na kipato duni, familia zote mbili zilijikuta kwenye dimbwi kubwa la umasikini. Wadogo zake wengi tu walilazimika kukatiza masomo na kuanza kuwa wabangaizaji, wale wa kike waliishia kupewa mimba na kuzalia nyumbani.
Familia iliongezeka na hakukuwa na mtu wa kuleta tumaini tena katika familia yao. Mama yao mzazi kutokana na kufanya kazi nzito na misoto ya maisha, kadri siku zilivyosonga afya yake ilianza kuzoofu.
Mwishoni ilikuja kujulikana alikua na ugonjwa wa kifua kikuu na alichelewa kupata matibabu na umauti ulimkuta. Hapa ilikua ni Kama miaka nane baada ya mmewe kufariki.
Baada ya mama yao kufariki, uhalisia wa maisha ujidhihirisha kuwa ubaki home ufe kwa njaa au ujitose duniani kupambana na hali yako, chaguo la pili ndilo lilkua chaguo la wengi na familia ilisambaratika kila mmoja na maisha yake.
My take :
Nimerejea uzoefu huo amabo ni mkasa halisi nilioushuudia katika maisha haya ila lengo langu nilitaka kuonyesha ikiwa wazazi hawatajenga msingi wa familia inakua ngumu sana kuuvunja mzunguko wa umasikini.
Leo ni zaili hata kwa maisha yetu
Unajikuta wewe ndo msomi kwenye familia
Umepata kikazi chako kwa mishahara hii ya kaizari ambayo huishia week ya pili baada y'a kupata monthly salary.
Lakini unajikuta unalazimika kusomesha wadogo zako watatu, uwatunze wazazi wako na wajomba.
Omba Mungu uwe umeo mke ambaye upande wake kuna unafuu, lakini maisha yasivyo na huruma
Mara nyingi ndege wanaofanana huruka pamoja, this means mtu mwenye kipato kidogo uoa wake wanaotoka familia kama yake, hivyo umasikini uzaa umasikini.
Omba Mungu usiwe unaishi kwa sifa uanze kuchukua mikopo ili ukanunue gari tena ya kutembelea amabayo haiingizi kipato chochote ili uonekane unaunafuu kwa maisha ya kitaa.
Tena shukuru Mungu ukiwa umeshamaliza mkopo wa Loan bord, vinginevyo hadi unastafu maisha ni ya kuunga unga tu na full stress.
Point to note :
Bila kujimakinisha kujenga misingi ya familia yako hesabu maumivu kwa kizazi chako pia.
Leo tunasumbuka sana kuvunja our poverty circle kutokana na makosa ya wazazi wetu , we're living the poverty legacy of our poor daddy
Mafanikio makubwa sana kwetu ni ikiwa tutaweza kufanikiwa kuandaa misingi ya watoto wetu ili at least wakue katika misingi huru nje ya umasikini.
Naomba kuwasilisha, karibuni wadau tushirikishane uzoefu na kupendekeza namna bora kabisa za kuvunja poverty cycle.