Bacary Superior
JF-Expert Member
- Jul 3, 2014
- 3,721
- 1,515
cku hizi wanavaa 2
mhhhh hapa napita sina neno.Wanawake wanaogopa wanaume wanaovaa pete za ndoa muda wote. Ingawa kuna uwezekano wanaume kutowaogopa kwa kiwango hicho wanawake waliovaa pete. Wakati mwingine wanaume wanachepuka kwa kuwa exposed kwenye mazingira hatarishi. Kuvaa pete kunapunguza mazingira hatarishi maana wanawake wanaziogopa. Vaa pete yako kupunguza ushawishi wa kuchepuka, usipo ivaa your easy prey
Uko saii mkuu mimwenyew nsha wamega kbaooo na sna mpngo wakuoaWanavuliwa chupi wakiwa na pete zao mahotelini na kwenye magari waliyonunuliwa na waume zao,wengine wanadai wakiingia mahotelini wanavua pete na kuzivaa wakimaliza,kwenye magari huwa hawavui.TUNAWASIKIA.