Kuvaa pete ya ndoa kinga dhidi ya kuchepuka

Kuvaa pete ya ndoa kinga dhidi ya kuchepuka

sambu

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2011
Posts
285
Reaction score
284
Wanawake wanaogopa wanaume wanaovaa pete za ndoa muda wote. Ingawa kuna uwezekano wanaume kutowaogopa kwa kiwango hicho wanawake waliovaa pete. Wakati mwingine wanaume wanachepuka kwa kuwa exposed kwenye mazingira hatarishi. Kuvaa pete kunapunguza mazingira hatarishi maana wanawake wanaziogopa. Vaa pete yako kupunguza ushawishi wa kuchepuka, usipo ivaa your easy prey
 
Kuchepuka ni tabia labda kama pete ingekua inarekodi thn inapeleka taarifa kwa muibiwi
 
Ngoja nkwambie mkuu wanaovaa pete ndio wanapendwa zaid na ndio wanachepuka zaid kuliko wasiovaa...
just imagine mvaa pete wa kike na wakiume wanaenda hotelin kwa akil ya haraka haraka si utajua ni mume na mke wale...
 
Ni jinsi mtu anavyojiweka katika jamii, kuvaa au kutovaa pete hakuongezi wala kupunguza heshima ya ndoa. Kujitongozesha au kutongoza ovyo havina uhusoano na uvaaji wa pete. Kuna jamaa zangu wana ma gold vidoleni lakini wanabanjuka kila mara.
 
Wanawake wanaogopa wanaume wanaovaa pete za ndoa muda wote. Ingawa kuna uwezekano wanaume kutowaogopa kwa kiwango hicho wanawake waliovaa pete. Wakati mwingine wanaume wanachepuka kwa kuwa exposed kwenye mazingira hatarishi. Kuvaa pete kunapunguza mazingira hatarishi maana wanawake wanaziogopa. Vaa pete yako kupunguza ushawishi wa kuchepuka, usipo ivaa your easy prey
Inasaidia sanaaaa
 
Wengi huvaa na hawapo kwenye ndoa! Na wapo mabinti ambao hawaziamini hizo pete, ilitokea binti mmoja alimpenda jamaa angu na jamaa alikuwa na pete lakini yule binti hakutaka kuelewa kama jamaa ameoa na anamke au la bali binti alilazimisha apatwe na jua na jamaa angu! So Pete sio kinga jamani.
 
Pete haisaidii sana mtu kutongozwa ama kutongoza....Bali mawasiliano yako ya awali na mtu yeyote yana matter sana mtu kujua upande uliyoegemea...Kama ni easy GO ama ni mtu mwenye MSIMAMO..whether umevaa pete ama lah...
 
sivai pete mda wote na sijawahi kuchepuka na siwezi kuchepuka. we kama umeoa lidubwasha/kituko utachepuka tu hata kama utavaa pete 24/7
 
sivai pete mda wote na sijawahi kuchepuka na siwezi kuchepuka. we kama umeoa lidubwasha/kituko utachepuka tu hata kama utavaa pete 24/7

Nakubaliana nawewe. Ila nilichosema inapunguza mazingira hatarishi. Mara nyingi jinsi mwanamke atakavyo respond na first impression ya mwenye pete na ambaye hana vinatofautiana. Huwezi amini baadhi ya wanawake on first encounter macho yaobukimbilia kwenye kidole. Kama kitupu hujiachia freely na kama ipo huaproach kwa uangalifu. Na hapo ndipo mazingira hatarishi hupunguza uwezekano wa kuchepuka unless upo determimed, kwani any negative responce humfanya aishie kukuheshimu. Hiyo ni kinga toshaa.
 
Ni kweli, mwanamke akishaiona Pete kidole husika, hujitenga na wewe kinamna na utatumia nguvu kubwa kurudi kwake. Mwanamke anayejitambua hamtongizi wala kumsogelea mwenye Pete bali ni Viche Viche tu hufanya hivyo.
 
Wanawake wanaogopa wanaume wanaovaa pete za ndoa muda wote. Ingawa kuna uwezekano wanaume kutowaogopa kwa kiwango hicho wanawake waliovaa pete. Wakati mwingine wanaume wanachepuka kwa kuwa exposed kwenye mazingira hatarishi. Kuvaa pete kunapunguza mazingira hatarishi maana wanawake wanaziogopa. Vaa pete yako kupunguza ushawishi wa kuchepuka, usipo ivaa your easy prey
unatongozwa na lipete lako!!
 
wape ushauri waachane n tabia y kusema shetani kanipitia... mtu kaoa leo kesho kazini hana pete ndo nini?
 
Wanawake wanaogopa wanaume wanaovaa pete za ndoa muda wote. Ingawa kuna uwezekano wanaume kutowaogopa kwa kiwango hicho wanawake waliovaa pete. Wakati mwingine wanaume wanachepuka kwa kuwa exposed kwenye mazingira hatarishi. Kuvaa pete kunapunguza mazingira hatarishi maana wanawake wanaziogopa. Vaa pete yako kupunguza ushawishi wa kuchepuka, usipo ivaa your easy prey

mh je kama hujafunga ndoa kanisani au msikitini maana wapo wanaobebana tu
 
mh je kama hujafunga ndoa kanisani au msikitini maana wapo wanaobebana tu
Kulingana na mtizamo, mimi ninawaona hao wapo huru. Hawafungwi na dhambi ya uzinzi. Issue ni pale mtu umeapa come rain come sun ni huyu tu, hapo ndipo unapotakiwa kujiepusha na mazingira hatarishi.
 
Ni jinsi mtu anavyojiweka katika jamii, kuvaa au kutovaa pete hakuongezi wala kupunguza heshima ya ndoa. Kujitongozesha au kutongoza ovyo havina uhusoano na uvaaji wa pete. Kuna jamaa zangu wana ma gold vidoleni lakini wanabanjuka kila mara.
Uko sahihi mtani wa kipenzi changu 123
 
Siku hizi wanavua ukikutana nae ukimuuliza umeolewa anakwambia hajaolewa kwa nini usipige tu
Na hiyo ndo hoja. Anavua kwa sababu anaona inamkinga. Na akiisha ivua anakuwa vurnerable. Kumbe asingeivua ingamkinga dhidi yamsukumo wa kuchepuka. Zivaeni, zinasaidia sana. Hata kama wewe ni muaminifu, vishawishi vipo tu and your safe kama ukijiweka mbali navyo.
 
Wanavuliwa chupi wakiwa na pete zao mahotelini na kwenye magari waliyonunuliwa na waume zao,wengine wanadai wakiingia mahotelini wanavua pete na kuzivaa wakimaliza,kwenye magari huwa hawavui.TUNAWASIKIA.
 
Back
Top Bottom