kuuza vyeti vya kitaaluma ni kosa kisheria?

Evz

JF-Expert Member
Apr 28, 2014
674
130
mtu umemaliza chuo kikuu, umefanya tp, wengine btp ajira hakuna si private wala serikalini kisa umesoma sanaa anatokea kiongozi anakwambia weka vyeti pembeni ingia shambani ukalime wakati hata hukusomea kilimo, bodi ya mikopo wanataka hela yao milioni kumi plus, huna pa kuanzia, ukiamua kufungua tuition elimu bure inakudaka. mabenk mikopo ni shida wanataka asset nyumba, mashamba, bodi ya mikopo imepiga pini wadaiwa wasikopesheke na kudaiwa kusakwa majumbani hata usiku wa manane. elimu tulionayo tz haimuandai msomi katika soko la kujiajiri ndo mana wakenya, waganda wametapakaa kwenye shule za private, ukienda kufanya interview kwenye hzo shule ukiwa mkenya, mganda kazi umepata. REJEA KICHWA CHA HABARI HAPO JUU.
 
KISHERIA; ndio ni kosa kuviuza.

Na ukitaka uichukie serikali wewe na kizazi chako chote, uza halafu ukamatwe.
 
sasa dogo wewe ni graduate , sasa ulivyoandika ! yaani unamuuzia mtu cheti kikiwa na jina lako ? sasa cha nini ?
 
  • Thanks
Reactions: Evz
mtu umemaliza chuo kikuu, umefanya tp, wengine btp ajira hakuna si private wala serikalini kisa umesoma sanaa anatokea kiongozi anakwambia weka vyeti pembeni ingia shambani ukalime wakati hata hukusomea kilimo, bodi ya mikopo wanataka hela yao milioni kumi plus, huna pa kuanzia, ukiamua kufungua tuition elimu bure inakudaka. mabenk mikopo ni shida wanataka asset nyumba, mashamba, bodi ya mikopo imepiga pini wadaiwa wasikopesheke na kudaiwa kusakwa majumbani hata usiku wa manane. elimu tulionayo tz haimuandai msomi katika soko la kujiajiri ndo mana wakenya, waganda wametapakaa kwenye shule za private, ukienda kufanya interview kwenye hzo shule ukiwa mkenya, mganda kazi umepata. REJEA KICHWA CHA HABARI HAPO JUU.


In the first place nadhani hukutakiwa kusoma maana hujui ulisoma ili iweje na hujui cheti ni nn toka unasoma, kwa akili ulizonazo shule ulipoteza muda na huko unakoomba kazi utakuwa ni mzigo sana,
 
Back
Top Bottom