Kuuza bidhaa online kupitia Kikuu

Kuuza bidhaa online kupitia Kikuu

Hornet

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2013
Posts
26,845
Reaction score
52,251
kwanza niwape pongeze Kikuu Tanzania, ambayo ni kampuni inayouza bidaa nchini kwa njia ya mtandao.
nimenunua bidhaa kwao na hawana usumbufu kabisa.
HITAJI LANGU;
nimevutiwa kuuza kupitia Kikuu,
ninahitaji kujua hatua za kufuata ili kuwa muuzaji katika Kikuu,
au kama kuna mwenye maelezo zaidi anisaidie tafadhali.
 
Back
Top Bottom