Huo ugonjwa mm nilishawahi kuumwa miaka mingi sana, wazazi wangu, ndugu zangu walihangaika miaka tele lakini hawakufanikiwa ikawa mpka kila ninachotaka kufanya eg kazi haswa kwenye jua walikuwa wananikataza sana, mm nilikuwa nameza dawa za kutuliza maumivu kila siku mwaka mzima, hizi Hospital unazozijuwa wewe nchii nimekwenda lakini cjapata ufumbuz wowte ule, yaaan unakwenda Hospital mpka doctor anakujua, had anafikia hatua ya kukushauri nenda Hospital nyingine labda watakusaidia, lakin ukienda kule wapi na kwa bahat nzuri nilikuwa natumia Bima.
Unajua nilijua kupona vipi had leo kubaki historia, kuandika nimechoka ila njooo humu nikupe ushauri bure kabisa na utaona matokeo yake soon715378899