Kuumwa sana na kichwa

Algeciras

JF-Expert Member
Oct 1, 2016
349
317
Wakuu natumai wazima,

Nina ndugu yangu wa kike 17 years, tatizo kubwa alionalo ni kuumwa na kichwa,
Kichwa chake kama kinakua kinakufa ganzi upande mmoja,kinamuuma sana.
Dawa aliozoea kutumia ili kutuliza maumivu ni hedex na imepungua utendaji kazi nahisi kwa kutumia kila siku.

Naombeni ushauri wenu tatizo linaweza kuwa nini na atumie dawa gani ili apate nafuu na kupona kabisa.

Shukran.
 
Mimi sio daktari ila kuumwa na kichwa sanaa kwa upande wangu ni stress mara nyingii kwa umri ulosema bila shaka atakuwa shule bado msaadie anapokwama katika maisha yako kwa ushauri.na anywe maji mengii na vitu vya sukari kwa sababu mtu mwenye mgandamizo wa mawazo mara nyingi huwa na hasira pia.

Au kama ndivyosivyo mpeleke hospitali.
 
Mpeleke hospital afanyiwe vipimo, Hedex sio nzuri kwa umri wake kwa kuwa ina caffeine ambayo ni habit forming, akiikosa kichwa kitaendelea kuuma! Atumie paracetamol tu! Alafu aangalie mwendo wa Mwezi, kuna watu huumwa kichwa wakati wa full moon! Mpe pole na asijali sana atapona tu!
 
Huo ugonjwa mm nilishawahi kuumwa miaka mingi sana, wazazi wangu, ndugu zangu walihangaika miaka tele lakini hawakufanikiwa ikawa mpka kila ninachotaka kufanya eg kazi haswa kwenye jua walikuwa wananikataza sana, mm nilikuwa nameza dawa za kutuliza maumivu kila siku mwaka mzima, hizi Hospital unazozijuwa wewe nchii nimekwenda lakini cjapata ufumbuz wowte ule, yaaan unakwenda Hospital mpka doctor anakujua, had anafikia hatua ya kukushauri nenda Hospital nyingine labda watakusaidia, lakin ukienda kule wapi na kwa bahat nzuri nilikuwa natumia Bima.
Unajua nilijua kupona vipi had leo kubaki historia, kuandika nimechoka ila njooo humu nikupe ushauri bure kabisa na utaona matokeo yake soon715378899
 
Huo ugonjwa mm nilishawahi kuumwa miaka mingi sana, wazazi wangu, ndugu zangu walihangaika miaka tele lakini hawakufanikiwa ikawa mpka kila ninachotaka kufanya eg kazi haswa kwenye jua walikuwa wananikataza sana, mm nilikuwa nameza dawa za kutuliza maumivu kila siku mwaka mzima, hizi Hospital unazozijuwa wewe nchii nimekwenda lakini cjapata ufumbuz wowte ule, yaaan unakwenda Hospital mpka doctor anakujua, had anafikia hatua ya kukushauri nenda Hospital nyingine labda watakusaidia, lakin ukienda kule wapi na kwa bahat nzuri nilikuwa natumia Bima.
Unajua nilijua kupona vipi had leo kubaki historia, kuandika nimechoka ila njooo humu nikupe ushauri bure kabisa na utaona matokeo yake soon715378899
Mkuu bora ungeweka wazi hapa na kwa faida ya wengine utakua umeisaidia jamii maana wengine ni wahanga.
 
Mpeleke hospital afanyiwe vipimo, Hedex sio nzuri kwa umri wake kwa kuwa ina caffeine ambayo ni habit forming, akiikosa kichwa kitaendelea kuuma! Atumie paracetamol tu! Alafu aangalie mwendo wa Mwezi, kuna watu huumwa kichwa wakati wa full moon! Mpe pole na asijali sana atapona tu!
Shukran Mkuu ,
yeye anaumwa na kichwa almost kila siku,anavaa mawani pia kwa akili ya kichwa,Mimi sina utaalamu na udaktari lakini nahisi halihusiani moja kwa moja na period.
 
Wakuu natumai wazima,

Nina ndugu yangu wa kike 17 years, tatizo kubwa alionalo ni kuumwa na kichwa,
Kichwa chake kama kinakua kinakufa gani upande mmoja,kinamuuma sana.
Dawa aliozoea kutumia ili kutuliza maumivu ni hedex na imepungua utendaji kazi nahisi kwa kutumia kila siku.

Naombeni ushauri wenu tatizo linaweza kuwa nini na atumie dawa gani ili apate nafuu na kupona kabisa.

Shukran.
Mshauri akapime macho haraka atapewa dawa au miwani, kama ni mwanafunzi asipende kutumia karatasi nyeupe sana apunguze muda wa kutumia simu hasa smartphone au computer na kutazama TV kama preliminary measures tu ila nina uhakika ni macho vinginevyo labda awe na tatizo la damu kuzid au pungufu.
 
Mshauri akapime macho haraka atapewa dawa au miwani, kama ni mwanafunzi asipende kutumia karatasi nyeupe sana apunguze muda wa kutumia simu hasa smartphone au computer na kutazama TV kama preliminary measures tu ila nina uhakika ni macho vinginevyo labda awe na tatizo la damu kuzid au pungufu.
Anavaa miwani mkuu.
 
Mkuu bora ungeweka wazi hapa na kwa faida ya wengine utakua umeisaidia jamii maana wengine ni wahanga.
Ok, vidole vime pumzika, sasa nakumbuka Hospital ya mwisho kwenda ni KAIRUKI pale mikocheni, nakumbuka siku ya ijumaaa, wakanipima hawajagundua chochote kile, ila wakanipa dawa flani nikameza, aiseee sijalala ikabid jumamos nirud tena pale kairuki, alichonijibu kwamba, cc tumeshindwa kukusaidia, jaribu kwingine hiyo nakumbuka2012.
Hapo navaaa kila aina ya miwani, aiseee ngoma bado, yaaaan mm mwaka mzima nameza daw tu.
Sasa nakumbuka siku hiyo ya jumamosi nikarud home, nikazima taaa zote nimekaaa kwenye meza nikaanza kumuomba MWENYEZ MUNGU kwa kusema maneno haya"""EWE MWENYEZ MUNGU, MUUMBA MBINGU NA ARDHI, NAJUA WEWE NDIE MWENYE UWEZO WA KUTATUA KILA KITU, NAOMBA NIONDELEEE HAYA MATESO YA MUDA MREFU, NIMECHOKA MUNGU WANGU, KAMA KUNA KITU NAKULA KINANIDHURU KWAKWELI KWA MATESO HAYA YA KICHWA SITAKISOGELEA KABISA""".
Basi nimekaaa gafla kile kichwa kikapona kabisa, sasa kuna siku nikawa nakula ugali na dagaaa wale wa mwanza, nilivyomaliza kama nusu saaa kichwa kikaaanza tena kuuma, ndipo nilikuja gundua kwamba nina ALEJI YA DAGAA".
Nikaenda Hospital muda huohuo nikapew dawa za ALEJI, kama siku nne hivi nikapona, nikaona kama dawa nimegundua nikajaribu tena kula dagaaa, kama nusu saaa kichwa kimeanza kuuma.
Hapo ndipo nilipogundua kwamba mm kuumwa tatizo ni aleji ya dagaaaa, tokea 2012 mpka leo hii kichwa kuuumwa labda malaria lakini vinginevyo napiga kazi tyuuuu.
NB:aanze kufuatilia kwa kile anachokula, lazima atagundua tyuuuu, yaaan akifanya zoez kwa umakini lazima atagundua kinachomsumbua.
MPE POLE SNA, KWAN LEO HATA HOME HAWAAMINI KMA LEO
Mkuu bora ungeweka wazi hapa na kwa faida ya wengine utakua umeisaidia jamii maana wengine ni wahanga.
 
Wakuu natumai wazima,

Nina ndugu yangu wa kike 17 years, tatizo kubwa alionalo ni kuumwa na kichwa,
Kichwa chake kama kinakua kinakufa ganzi upande mmoja,kinamuuma sana.
Dawa aliozoea kutumia ili kutuliza maumivu ni hedex na imepungua utendaji kazi nahisi kwa kutumia kila siku.

Naombeni ushauri wenu tatizo linaweza kuwa nini na atumie dawa gani ili apate nafuu na kupona kabisa.

Shukran.
Wataalamu watamsaidia.ila kama kina mida mrefu yaweza kuwa kipanda USO..Vasograin ndo dawa ya msingi.ila aende hospital kwanza
 
Shukran Mkuu ,
yeye anaumwa na kichwa almost kila siku,anavaa mawani pia kwa akili ya kichwa,Mimi sina utaalamu na udaktari lakini nahisi halihusiani moja kwa moja na period.
Samahani siiongelei period, naongelea Moon/Mwezi....atapona tu!
 
Kuumwa kichwa constantly ni dalili ya magonjwa mengi sana!Ni vyema mgonjwa huyu akapimwe magonjwa yafuatayo kwa kuchukuliwa damu na mucus za puani!
Kuumwa kichwa kila siku inaweza ikawa:
Chronic High Blood Pressure
Aleji
Types 2 diabetes
Heart defects
Low level of bilirubin ktk Bile
Stress
Nk
Nenda kwa dr bingwa muambie atakupa ushauri
 
Back
Top Bottom