Nimesikia maneno haya lakini bado sijajua ni vyombo au taasisi gani na vinafanya nini
MKUKUTA na MKURABITA
Naomba mwenye kufahamu zaidi wanijuze nijue masahi na faida zake kwa raia wa kawaida
Kuna nyingine sasa hivi imeongezeka inaitwa "MKUMABI", yaani MKAKATI WA KUONGEZA MASLAHI BINAFSI, ingawa hii haitangazwi sana
mkukuta ni mpango wa kukuza na kuongeza umaskini tanzania na mkurubita ni mpango wa kupunguza rasilimali ufahamu bila idhini tanzania
Nimesikia maneno haya lakini bado sijajua ni vyombo au taasisi gani na vinafanya nini
MKUKUTA na MKURABITA
Naomba mwenye kufahamu zaidi wanijuze nijue masahi na faida zake kwa raia wa kawaida
wakati mwingine kuuliza huwa ujinga. Hebu cheki alivyokujibu kitalolo, kakuona wewe mjinga sana. Hiyo siyo maana ya maneno hayo. Cheki kwenye google kama alivyokuambia mj
Kweli bana....Nimesikia maneno haya lakini bado sijajua ni vyombo au taasisi gani na vinafanya nini
MKUKUTA na MKURABITA
Naomba mwenye kufahamu zaidi wanijuze nijue masahi na faida zake kwa raia wa kawaida
unajua ukijua unajua wakati hujui inakuwa hatari..
bora ya mjinga atakaye kujifunza kuliko mjanja asiyetaka kujua
ukirudia kusoma utaelewa kitalolo katoa jibu sahihi sana kama hujatambua
mkukuta ni mpango wa kukuza na kuongeza umaskini tanzania na mkurubita ni mpango wa kupunguza rasilimali ufahamu bila idhini tanzania
Kitalolo kama hujui maana usimpotoshe mwenzako.
MKUKUTA - Mkakati wa Kukuza Uchumi na Kupunguza Umasikini Tanzania (National Strategy for Growth and Reduction of Poverty in Tanzania)
Ama MKURABITA naisikia lakini siifahamu, najua inahusiana na kuratibisha Biashara ndogo ndogo Tanzania.
Kitalolo kama hujui maana usimpotoshe mwenzako.
MKUKUTA - Mkakati wa Kukuza Uchumi na Kupunguza Umasikini Tanzania (National Strategy for Growth and Reduction of Poverty in Tanzania)
Ama MKURABITA naisikia lakini siifahamu, najua inahusiana na kuratibisha Biashara ndogo ndogo Tanzania.
Pole sana inaonekana hata redio husilizi,kama wewe hujui maana ya mkukuta,hao wa vijijini itakuwaje? basi subiri mpaka utakapo kukuta ndipo utakapojuta.
Kuna nyingine sasa hivi imeongezeka inaitwa "MKUMABI", yaani MKAKATI WA KUONGEZA MASLAHI BINAFSI, ingawa hii haitangazwi sana