Kuna viongozi wa chama fulani nchini ambacho sera zake zinazofanana na mafreemasons(wale wanaosalimiana kwa ishara ya vidole viwili kama akina Bush,Saddam,Obama,Ahmednijad,Arafat,tonny Blair n.k)kuamua kwa makusudi kumteua mgombea urais ambaye ana wajihi na sifa za kutoka nchi ya Somalia kwenye vita.
Kwakweli hawa jamaa wamedata kwelikweli,mwaka 2005 walituwekea mgombea mtanzania halisi mwenye hali na wajihi wa kitanzania lakini cha ajabu na kweli mwaka huu wameamua kutuwekea mgombea ambaye sura yake tuu inaonyesha ni mwenye asili ya Somalia na hasa matamshi yake yanaelekea huko kwa kusema 'damu itamwagika'.Anaongea sana lugha za nje kuliko kiswahili,yaani kiswahili chake unaweza ukachukua dakika 10 kutafakari alichodhamilia kuzungumza.
Swali kwa hawa jamaa wameona watanzania ni mambumbumbu na mazumbukuku/batabata kwa kuwateulia mgombea ambaye hakubaliki katika jamii ya wastaarabu isipokuwa kwa wale wachache wasio na nguvu wanaotaka kuchangia damu yao ardhini badala ya hospitalini,sisi tunasema 'hatudanganyiki na hamtupati ng'oooo'
Nasubiri matusi ya wafuasi wa freemasons toka hapa JF kwani wapo wengi sana na moja ya sifa zao ni kutukana na kutomtambua mungu wa kweli,sasa ukitukana tuu basi ujue wewe ni mmoja wao na humtambui mungu wa kweli na unasifa za kumkana aliyekuumba.
Kwakweli hawa jamaa wamedata kwelikweli,mwaka 2005 walituwekea mgombea mtanzania halisi mwenye hali na wajihi wa kitanzania lakini cha ajabu na kweli mwaka huu wameamua kutuwekea mgombea ambaye sura yake tuu inaonyesha ni mwenye asili ya Somalia na hasa matamshi yake yanaelekea huko kwa kusema 'damu itamwagika'.Anaongea sana lugha za nje kuliko kiswahili,yaani kiswahili chake unaweza ukachukua dakika 10 kutafakari alichodhamilia kuzungumza.
Swali kwa hawa jamaa wameona watanzania ni mambumbumbu na mazumbukuku/batabata kwa kuwateulia mgombea ambaye hakubaliki katika jamii ya wastaarabu isipokuwa kwa wale wachache wasio na nguvu wanaotaka kuchangia damu yao ardhini badala ya hospitalini,sisi tunasema 'hatudanganyiki na hamtupati ng'oooo'
Nasubiri matusi ya wafuasi wa freemasons toka hapa JF kwani wapo wengi sana na moja ya sifa zao ni kutukana na kutomtambua mungu wa kweli,sasa ukitukana tuu basi ujue wewe ni mmoja wao na humtambui mungu wa kweli na unasifa za kumkana aliyekuumba.