Kutumbua jipu Nchi itayumba?

Kutumbua jipu Nchi itayumba?

Ngoja kwanza nimtafute Pinda Kayanza Peter Mizengo! Daaa ila huyu buana mtata sana!

1. tukikamata mafisadi nchi itayumba
2. wapigwe tu maana hakuna namna nyingine tena

haahahahahahah!
 
CCM ndiyo Mafisadi na ufisadi ndiyo jipu.
Magufuli ataanzia wapi kumtumbua kikwete?
 
tatzo letu watz tuna ugonjwa wa usahaulifu sana km kuku vile...yn mijitu ishakengeuka tayar na kuiona CCM hii et ipo na itakuwa tofauti na CCM zingine hahaha
Watanzania aka Nyumbu ndo wataendelea kuwa chakula cha Mamba(CCM) milele cz of their stupid mindset
 
Mi unasubiri hiyo mahakama ya mafisadi nione itafanyaje kazi,,,,,wapi mafisadi walioshindikana kama akina chenge,,,tibaijuka, ,,muhongo. E.T.c natamani kuona wakipandishwa kizimbani
 
Unapozungumzia upuuzi ufisadi uwizi wa rasilimali za nchi watuhumiwa # 1 wapo mafccm, jiulize huyo masolex ataanzajeanzaje
Kuwa kamata ccm yote imejaa wez mafisadi
Majambazi!
Huyo mkurugenzi wa takukur ana maskendo
Ccm hakuna msafi wa kumsafisha mwenzake wote ni Wachafu. .......
 
nimemsikia jana magu akishangaa tembo watz kukutwa ughaibuni, wakati akihutubia bunge.
 
Nashauri hiyo mahakama ya mafisadi ipakwe rangi ya kijani na iwe na bendera ya ccm....maana mafisadi wapo ccm.
 
Namwomba Mungu muumba mbingu na nchi anijalie uhai na uzima nishuhudie, mafisadi wa nchi hii wakitupwa jela na kufilisiwa..... Bado naona kama hichi kitu hakitawezekana!!!

Only time will tell....
 
Namwomba Mungu muumba mbingu na nchi anijalie uhai na uzima nishuhudie, mafisadi wa nchi hii wakitupwa jela na kufilisiwa..... Bado naona kama hichi kitu hakitawezekana!!!

Only time will tell....

Its sorely be the matter of time and space.....Magufuli is on the way
to reach the destination. One step at a time.
 
Hiyo mahakama itakuwa jengo tu, itawakamata watu wadogo kama matrafki na wengine. Upande wa vigogo watasema "kama kuna mwananchi mwenye ushahidi kwamba kigogo X ni fisadi auwakilishe".
 
Kati ya statementas ambazo ziliwahi kunikera to the core ni hii.Hivi inaingia akilini kweli.Mtu akuibie,umuone kabisa hatimaye unasema aa, muache tu aendelee bwana,nikimstua anaweza kunifanya lolote baya.Watu si watakuona wewe hamnazo.Equally tulimuona Hosea hamnazo,kwa kuwa tulijua kuna jambo lilokuwa linafichwa na kutetewa na wala haikuwa kweli kwamba nchi itayumba mafisadi wakipelekwa mahakamani.Thankyou God we have Magufuli.
MKURUGENZI wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), Dk Edward Hoseah, amesema kuwa kuwafikisha mahakamani watuhumiwa wote wa ufisadi kwa pamoja kunaweza kusababisha nchi kuyumba.

Je Dr Magufuli akitumbua jipu nchi itayumba??

Pata habari kamili hapa ya jinsi serikali iliyopita ilivyotishwa na mafisadi
HOSEA: TUKIWASHTAKI WATUHUMIWA WOTE WA UFISADI NCHI ITAYUMBA ~ Kulikoni Ughaibuni

 
tatzo letu watz tuna ugonjwa wa usahaulifu sana km kuku vile...yn mijitu ishakengeuka tayar na kuiona CCM hii et ipo na itakuwa tofauti na CCM zingine hahaha
Watanzania aka Nyumbu ndo wataendelea kuwa chakula cha Mamba(CCM) milele cz of their stupid mindset

Kwa nini pofu likutoke?Utakuwa mchawi wewe mana unataka kila likwame ili upate nafasi ya kutamba.
 
Vasco da gama alitaka kujinasua Uchairman wa chama amwachie Mkuu wa kaya.
Sasa Vasco ameghairi kutokana na huyu mkuu wa kaya kujifanya anatishia mfumo wake kimaneno ingawa kimatendo bado Vasco ndo remote, refer to uteuzi wa viongozi mbalimbali.
 
Back
Top Bottom