Nashauri hiyo mahakama ya mafisadi ipakwe rangi ya kijani na iwe na bendera ya ccm....maana mafisadi wapo ccm.
Haujui kuwa kwenye hiyo orodha yumo Lowasa,Rostam,Sumaye,Karamagi na wengi waliokuwa nyuma ya Lowasa na sasa Ukawa?
Nashauri hiyo mahakama ya mafisadi ipakwe rangi ya kijani na iwe na bendera ya ccm....maana mafisadi wapo ccm.
Hiyo mahakama itakuwa jengo tu, itawakamata watu wadogo kama matrafki na wengine. Upande wa vigogo watasema "kama kuna mwananchi mwenye ushahidi kwamba kigogo X ni fisadi auwakilishe".
tatzo letu watz tuna ugonjwa wa usahaulifu sana km kuku vile...yn mijitu ishakengeuka tayar na kuiona CCM hii et ipo na itakuwa tofauti na CCM zingine hahaha
Watanzania aka Nyumbu ndo wataendelea kuwa chakula cha Mamba(CCM) milele cz of their stupid mindset
CCM ndiyo Mafisadi na ufisadi ndiyo jipu.
Magufuli ataanzia wapi kumtumbua kikwete?
Umenikumbusha jinsi tulibyotukanwa na watu wa lowasa. Kuna jamaa yangu mmoja mpaka alipata kusema eti wanaomshabikia Dr Magufuli akili zao zimefungwa! Sasa nikajiuliza hivi yeye anayeshabikia jizi lowasa na anajua mpaka akina lema wanataka liuawe kwa kuchomwa moto amesahau??Patamu sana hapa,,, lakini bro watanzania hawa hawa waliambiwa LOWASSA FISADI halafu walewale waliosema LOWASSA fisadi na ushahidi wanao wakasema sio fisadi na ushahidi wanao halafu tukaambiwa mwenye ushahidi aende mahakamani au shutup,, watanzania hawa wakaucheza huu wimbo na wengine tukalalamika tukaitwa Fisiem na kejeli nyingi sana!!! Sasa wabongo hawa hawa tena hata wale ambao hawakumchagua JPM wameamua kumuunga mkono JPM sasa mnaaza tena kuwakejeli wapiga kura wenu,,,
LENGO NI TANZANIA ISONGE MBELE KWA KUONGOZWA NA YEYOTE YULE NA SIO KUWAKATISHA TAMAA WALE WENYE NIA YA DHATI..
Asee Chenge hawamuwezi.Wakimshtaki hii nchi itayumba.Wamuache tu.Mi unasubiri hiyo mahakama ya mafisadi nione itafanyaje kazi,,,,,wapi mafisadi walioshindikana kama akina chenge,,,tibaijuka, ,,muhongo. E.T.c natamani kuona wakipandishwa kizimbani
Nashauri hiyo mahakama ya mafisadi ipakwe rangi ya kijani na iwe na bendera ya ccm....maana mafisadi wapo ccm.