Kutuma vs. Kuagiza

donlucchese

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2011
Posts
17,258
Reaction score
22,139
wakuu naomba kuulza tofaut ya maneno hayo mawili maana yananichenginyi sana. Je,ni sahihi kusema "nimemtuma mtoto aniletee soda" au " nimemuagiza mtoto aniletee soda" ? Shukran za dhat wakuu...!!!
 
Mkuu hii nimeipeda sana! mimi nadhani ukisema "nimemtuma mtoto aniletee soda" inamaana kwamba kunamawasiliano ya ana kwa ana. ukisema "nimemuagiza mtoto aniletee soda" inamaana kwamba hakuna mawasilianoya ya ana kwa ana.
 
Mkuu hii nimeipeda sana! mimi nadhani ukisema "nimemtuma mtoto aniletee soda" inamaana kwamba kunamawasiliano ya ana kwa ana. ukisema "nimemuagiza mtoto aniletee soda" inamaana kwamba hakuna mawasilianoya ya ana kwa ana.

nashkuru kwa ufafanuz mkuu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…