Bana likasi JF-Expert Member Jan 7, 2020 6,927 6,417 Feb 24, 2020 #201 Kawe Alumni said: Marikani inamtafuta msaliti wa Nchi julian popote alipo Click to expand... Hizo ni story za Lumumba kama imeweza muuwa Osama asiyepatikana ,al Baghdad kwa kumsakizia mbwa inashindwa vipi kumpata Julian anaejulikana,nani amekwambia wanamtafuta jukian
Kawe Alumni said: Marikani inamtafuta msaliti wa Nchi julian popote alipo Click to expand... Hizo ni story za Lumumba kama imeweza muuwa Osama asiyepatikana ,al Baghdad kwa kumsakizia mbwa inashindwa vipi kumpata Julian anaejulikana,nani amekwambia wanamtafuta jukian
Bome-e JF-Expert Member Jan 3, 2014 17,104 26,070 Feb 24, 2020 #202 Kawe Alumni said: Hata huko kwa Mabeberu mnaowashabikia wasaliti wa nchi hupokonywa uraia au kufungwa jela Click to expand... Nimegundua kuwa wewe hujui hata katiba inasemaje!Haki ya uraia haiwezi kupokwa hata ujilipue na kuua watanzania milion 1!
Kawe Alumni said: Hata huko kwa Mabeberu mnaowashabikia wasaliti wa nchi hupokonywa uraia au kufungwa jela Click to expand... Nimegundua kuwa wewe hujui hata katiba inasemaje!Haki ya uraia haiwezi kupokwa hata ujilipue na kuua watanzania milion 1!