Kutoonekana kwa Viongozi/Mwakilishi wa Vyama vya Upinzani Katika Msiba wa Mke wa Mwakyembe

Imekuwa kitu cha ajabu sana kutoona hata mwakilishi mmoja wa upinzani katika msiba wa Mke wa Mwakyembe. Si kawaida kutoona Lowassa au Mbowe au Mwakilishi wa baadhi ya vyama vyetu pendwa kwenye misiba hasa yenye sura ya kitaifa.

Kuna mwenye majibu!!!

Shida nini?
i) Mwakyembe kuwa katika kamati iliyomng'oa Lowassa U-PM mwaka 2007;
ii) Hapakuwa na umuhimu wa kuwa na mwakilishi wa chama katika msiba huu; au
iii) Kuna uhasama wa kivyama sana ambao hatujaanza kuzikana kama Watanzania.
Maumivu ya kichwa huanza Poole pole.
 
Nilikuwapo Msibani. Mbunge wa Mbeya Mjini, Sugu alikuwepo.

Imekuwa kitu cha ajabu sana kutoona hata mwakilishi mmoja wa upinzani katika msiba wa Mke wa Mwakyembe. Si kawaida kutoona Lowassa au Mbowe au Mwakilishi wa baadhi ya vyama vyetu pendwa kwenye misiba hasa yenye sura ya kitaifa.

Kuna mwenye majibu!!!

Shida nini?
i) Mwakyembe kuwa katika kamati iliyomng'oa Lowassa U-PM mwaka 2007;
ii) Hapakuwa na umuhimu wa kuwa na mwakilishi wa chama katika msiba huu; au
iii) Kuna uhasama wa kivyama sana ambao hatujaanza kuzikana kama Watanzania.
 
Nchi imeanza kugawanyika pande mbili
a)CHADEMA
(b)CCM
Na matukio yanathibitisha hilo ,
Tulianza kuona kwenye MSIBA wa shule ya LUCK VICENT Arusha ....hakuna kiongozi wa upinzani aliyepewa nafasi ya kuongea japo walifika na kilichoendelea kutokea kila MTU anafahamu.
Tukaja kwenye MSIBA wa NDESAMBURO Moshi mjini kilichotokea kila MTU anafahamu na Siku ya MAZISHI inasemekana hakutokea kiongozi hata MMOJA wa upande wa pili
Ikatokea tena kwenye FUTARI ya SPIKA wa BUNGE upande wa pili ukala kona ,
Sasa ni hili la MSIBA wa waziri wetu upande wa pili nao umekula kona ,
Tunasubiri matukio mengine tuone mini kitajiri .........


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili la kutoshirikiana kwa misingi ya chama linamea sasa na mwisho wake mbaya.

Ilianza zamani kwenye nyanja tofauti ikaja kwa Lema alipokuwa gerezan kutaka kutembelewa n wabunge wenzake na kauli ya mwenyekiti, ikaja msiba wa Lucky Vicent, ikaja msiba wa Ndesamburo.

Sasa leo umekuja msiba wa Mwakyembe hakuna viongozi wa upinzani waliohudhuria kutokana na ubaguzi na mbegu iliyopandwa.

Nini mwisho wake?
Hakuna cha mbegu hapa ni ujinga tu kwanza sisi huku kwetu habari ya vyama hatuna kila moja na mishe zake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Imekuwa kitu cha ajabu sana kutoona hata mwakilishi mmoja wa upinzani katika msiba wa Mke wa Mwakyembe. Si kawaida kutoona Lowassa au Mbowe au Mwakilishi wa baadhi ya vyama vyetu pendwa kwenye misiba hasa yenye sura ya kitaifa.

Kuna mwenye majibu!!!

Shida nini?
i) Mwakyembe kuwa katika kamati iliyomng'oa Lowassa U-PM mwaka 2007;
ii) Hapakuwa na umuhimu wa kuwa na mwakilishi wa chama katika msiba huu; au
iii) Kuna uhasama wa kivyama sana ambao hatujaanza kuzikana kama Watanzania.
CDM imewakilishwa na Mheshimiwa Joseph Mbilinyi.
 
Haya mmeyaanzisha wenyewe na huyo mkubwa wenu mpayukaji mnalalamika nini? Mbona hamuulizi mwajiri wa mwakyembe yuko wapi??? Zikeni wenyewe hata mkifa wote jizikeni wenyewe na kwetu msije

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Imekuwa kitu cha ajabu sana kutoona hata mwakilishi mmoja wa upinzani katika msiba wa Mke wa Mwakyembe. Si kawaida kutoona Lowassa au Mbowe au Mwakilishi wa baadhi ya vyama vyetu pendwa kwenye misiba hasa yenye sura ya kitaifa.

Kuna mwenye majibu!!!

Shida nini?
i) Mwakyembe kuwa katika kamati iliyomng'oa Lowassa U-PM mwaka 2007;
ii) Hapakuwa na umuhimu wa kuwa na mwakilishi wa chama katika msiba huu; au
iii) Kuna uhasama wa kivyama sana ambao hatujaanza kuzikana kama Watanzania.
Wote wana kesi kila alhamis wanapaswa kuhudhuria vituo vya polisi
 
Back
Top Bottom