Kutoonekana kwa Viongozi/Mwakilishi wa Vyama vya Upinzani Katika Msiba wa Mke wa Mwakyembe

Mnaongea kipuuzi sawa sawa na mlivyozizamisha akili zenu kwenye upuuzi.Je unajua huyo aliyefariki ni mzaliwa wa wapi? Ni mwendawazimu tu dada yake anapoolewa na mtu aliyemuumbua kwa kuharibu kitumbua chake anasusa mazishi ya dada yake.

Mwakyembe mnafiki? huwajui watu wa Kyela wakoje kitabia.Aliwambia mnaodhani alimsingiziwa huyo mnayemwabudu pelekeni upya hoja bungeni iliyowajaza hasira za kijinga na yeye ataomba Mh.Rais amruhusu kujiuzulu.Aliyasemea hayo hadharani mbona wakubwa zenu wamenyamaza kimya?

Mnasubiri siku ya msiba wa mkewe kipenzi ambaye ni dada wa wenye kampuni mnayodhani ni Chama.Mmezowea ujinga baadhi yenu bila kujali mpo Chama gani,hata wakati wa msiba wa mama yake Mh. ZZK wapo wapuuzi waliodhani ni sehemu ya kumpigia madongo,akawapa makavu kuwa ana ngozi ngumu ya kuhimili siasa lakini msiihusishe na kifo cha mama yake.

Mkoje? au ndiyo mnaolilia hata chakula cha msibani.
Andika upya hueleweki. TWAWEZA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Imekuwa kitu cha ajabu sana kutoona hata mwakilishi mmoja wa upinzani katika msiba wa Mke wa Mwakyembe. Si kawaida kutoona Lowassa au Mbowe au Mwakilishi wa baadhi ya vyama vyetu pendwa kwenye misiba hasa yenye sura ya kitaifa.

Kuna mwenye majibu!!!

Shida nini?
i) Mwakyembe kuwa katika kamati iliyomng'oa Lowassa U-PM mwaka 2007;
ii) Hapakuwa na umuhimu wa kuwa na mwakilishi wa chama katika msiba huu; au
iii) Kuna uhasama wa kivyama sana ambao hatujaanza kuzikana kama Watanzania.
Wanasubiri afe watakuja. Usiwe na wasi wasi we shida yako si wahudhurie misiba yenu tu. Mkiendelea kufa watakuja
 
Hao jamaa wamejaa CHUKI...UDINI na UKABILA. Na ndio sera yao mpya kwa sasa mkuu.
Itakuwa "walisusa" kama kawaida Yao.

Hata huku kwetu sisiem kuna chuki, udini na ukabila pia. Unakumbuka wale waloenda kumtembelea lema alivyokuwa kisongo walivyoambiwa na mwenye nyumba wetu?
 
Mwakyembe nae Mke anaumwa yupo ICU ww unaneng'eneka na kina saida kaloli mara kina Rooney kwani Naibu waziri katibu wa wizara hawapo? Yaani jamaa anajifanya kulia wakati halikuwa karibu na mke wake wakati anaumwa! Nyie mlianzisha ubaguzi basi tutazikana kivyama! Nyie zikaneni nasisi pia.
This is very sad, very

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiongozi gani wa serikali alihudhuria mazishi ya NDESA???

Kiongozi gani wa UPINZANI alihudhuria FTARI ilioandaliwa na NDUGAI??

Hii inakuja hadi kwa wananchi wa kawaida, soon misiba ya ccm itakuwa ya ccm tu, ya wengine itakuwa ya wengine tu
Ni mbaya sana kule tunakoelekea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuwatendea watu haki,ajifunze kuanzia hapo maana kama ametengwa msibani ajiangalie sana

That's too much not to that extent
 
Imekuwa kitu cha ajabu sana kutoona hata mwakilishi mmoja wa upinzani katika msiba wa Mke wa Mwakyembe. Si kawaida kutoona Lowassa au Mbowe au Mwakilishi wa baadhi ya vyama vyetu pendwa kwenye misiba hasa yenye sura ya kitaifa.

Kuna mwenye majibu!!!

Shida nini?
i) Mwakyembe kuwa katika kamati iliyomng'oa Lowassa U-PM mwaka 2007;
ii) Hapakuwa na umuhimu wa kuwa na mwakilishi wa chama katika msiba huu; au
iii) Kuna uhasama wa kivyama sana ambao hatujaanza kuzikana kama Watanzania.
Hayo ndo tunayoyatengeneza katika awamu hii ya tano. Tofauti na ilivyokuwa wakati wa awamu zilizopita. Sasa ni uadui wa wazi kabisa. Angalia kwa Ndesamburo, sasa Mawembe
 
Thats why im always saying CDM is a a shit party..only stupid people will keep lifting up they are nonsense...
Visasi mpaka kwenye misiba??

iphone 7
 
Thats why im always saying CDM is a a shit party..only stupid people will keep lifting up they are nonsense...
Visasi mpaka kwenye misiba??

iphone 7

Kama kawaida 'Nyani haoni.............................'
 
Imekuwa kitu cha ajabu sana kutoona hata mwakilishi mmoja wa upinzani katika msiba wa Mke wa Mwakyembe. Si kawaida kutoona Lowassa au Mbowe au Mwakilishi wa baadhi ya vyama vyetu pendwa kwenye misiba hasa yenye sura ya kitaifa.

Kuna mwenye majibu!!!

Shida nini?
i) Mwakyembe kuwa katika kamati iliyomng'oa Lowassa U-PM mwaka 2007;
ii) Hapakuwa na umuhimu wa kuwa na mwakilishi wa chama katika msiba huu; au
iii) Kuna uhasama wa kivyama sana ambao hatujaanza kuzikana kama Watanzania.

Hukumwona Lipumba na Sakaya
 
Vijana wengi wa sasa mnaingia kwny mambo ya siasa kwa mkumbo...viongozi wengi hawana ubinadamu kbs
 
Back
Top Bottom