Mwanamageuko
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 8,602
- 5,573
HATARI SANA! Huku ndiko nchi inakopelekwa kwa kasi ya kimondoMwakyembe nae Mke anaumwa yupo ICU ww unaneng'eneka na kina saida kaloli mara kina Rooney kwani Naibu waziri katibu wa wizara hawapo? Yaani jamaa anajifanya kulia wakati halikuwa karibu na mke wake wakati anaumwa! Nyie mlianzisha ubaguzi basi tutazikana kivyama! Nyie zikaneni nasisi pia.