Kutongoza single mother ni Raha sana

Kutongoza single mother ni Raha sana

Nipo inbox now Natongoza single mother flani hivi aliyejipitisha jana jioni kwenye banda langu la kiepe,

Siyo haba ni mzuri makinikia yapo ya kutosha ndio maana mr Zero nimejitosa kuomba ata namba na leo Asubuhi ndio nimemuamkia ili nimtongoze,

Kilichonifanya nije na bandiko ni kwamba kweli kutongoza single mother ni Raha hawana kuzunguka sana wao wanaenda direct kwenye point,

Nilijua atanidharau kwa sababu nilivyomuuliza umri wake tunatofautiana kama miaka 10 hivi lakini naona anakuja kuja

Ebu cheki hapa majibu yake hivi kuna dalili ya kuchomoa kweli [emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
View attachment 959952

Nb;
Mnaosema atanifirisi kibanda changu cha kiepe msiwe na shaka mi nia yangu ni kupiga tu siku moja na kusepa demu ni mkali ana nyonyo flani hivi zile za kubust yaani ni konyo plus makinikia(Chura).
Hakikisha unamtia na mimba nyingine akafie mbele by Pablo Blanco.
 
Kwa jinsi ulivyoelezea muonekano wake,ukifinyiwa kwa ndani utakuja hapa kutuomba michango ya harusi!!
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Mbona wakwanza hawakutangaza ndoa
 
Mkuu nakucheki tu unavyonipa go ahead ya kumfuatilia single mother mmoja hivi mwanachuo wa Udsm maake huwa namcheki anavyonjoonjoo kwa karibu yangu kila mara.
 
Back
Top Bottom