Kutongoza ni janga kitaifa

Kutongoza ni janga kitaifa

bisti

Senior Member
Joined
Aug 29, 2017
Posts
167
Reaction score
152
Kweli naanza kuamini kua baadhi ya vijana kutongoza ni janga kubwa kwao na wengi wao wanajikaza kisabuni kumalizia hasira zao kwenye punyeto, na hili naliona ni janga kama lilivyo tatzo la ajira tu nchini. Wadau karibuni kwa maoni na mitazamo yenu mnadhani ni nini chanzo cha matatizo haya? N.b mimi si muhanga.
 
Iv wanawake walivyo weng hivyo bado kuna watu wanapiga pull
Kibao tu maana inshu sio wanawake bali uwezo wa kujiamini na kumwaga sera kwa mtoto mzuri kama umemuelewa hasa kwa mara ya kwanza kama ndo umemuona
 
Kama huwezi kutongoza directly (face kwa uso) hata kupitia cm pia ushindwe? Mbona mambo yamerahisishwa sana siku hizi kupiga punyeto ni kujitakia tu
 
Ivi ukiwa umfatilii mwanamke ni kua una domo zege peke yake,


Coz mim sifatilii wanawake sio kwamba na domo zege hapana, ila nimeumizwa to the extent siwez kuamini kabisa,... So situation kama yangu does it apply na udomo zogo,
So wewe huwa unapiga mgalala tu...safi lakini
 
So wewe huwa unapiga mgalala tu...safi lakini
Hapana usiwe mtu wa kujudge sana,... Mi ua sitongozi, mi naamini kutongoza ni kua na uhusiano ama inakaaje, mi nikitaka mwanamke najua pa kumpata bila emotional attachment
 
Kutongoza si simple sana mtu unashindwaje kutongoza wakati wanawake wapo kwa ajili yetu
 
Kutongoza si simple sana mtu unashindwaje kutongoza wakati wanawake wapo kwa ajili yetu
ofcorse.. mimi nawashanga vijana wa siku izi wakat kila kitu google inakueleza nenda ivi, fanya vile, pita kule, mwishi kazi.. ila usisahau PESA ndo dawa yao..
 
Kumuogopa mtt wa kike n ufala
Kiwango cha mwisho
 
Ivi ukiwa umfatilii mwanamke ni kua una domo zege peke yake,


Coz mim sifatilii wanawake sio kwamba na domo zege hapana, ila nimeumizwa to the extent siwez kuamini kabisa,... So situation kama yangu does it apply na udomo zogo,
Mkuu hadi unaumizwa kiasi hicho unasubiri nn inabidi ujiongeze ukione mwanamke aeleweki kuna dalili YA kukuumiza unasepa faster ww sio unasubiri hadi upewe cha chemba..... Mm sijawai pigwa kibuti uwa ninawapiga tu au akiniwai nakuwa boya ninambembeleza akirudi namlia timing akijisahau ninamuwai Nampa cha chemba hapo tayari ninakuwa na kifaa kingine pembeni
 
Mkuu hadi unaumizwa kiasi hicho unasubiri nn inabidi ujiongeze ukione mwanamke aeleweki kuna dalili YA kukuumiza unasepa faster ww sio unasubiri hadi upewe cha chemba..... Mm sijawai pigwa kibuti uwa ninawapiga tu au akiniwai nakuwa boya ninambembeleza akirudi namlia timing akijisahau ninamuwai Nampa cha chemba hapo tayari ninakuwa na kifaa kingine pembeni
Ilishatokea mara moja ikala pakubwa, ila siwez kukuelezea ukaelewa,..
Kwa iyo tuachie apo apo,...
 
Wengine ukiongea nao, majibu yao tu yanaonyesha kama ana vuta bangi au mlevi kwa majibu yake tu,

Na hapo ni pale mwanzomwanzo tu wa story je mkiendelea na story kweny ile stage ya kushusha vocal si ataanza kuongea kama ana mapepo vile, yann yote hayo bora uonekane domo zege kwa kutunza heshima yako sio kuharibiana cv mchana, mchana wakati huo mtu nwenyewe unae mtongoza kwa kukuangalia tu hana mbele wala nyuma,
Kila anapoitwa anaenda..upumbav gan huo bhana alaaaaah...

Let them get the hell far from us...

The way they cust bad to us is the way they curse them selves and become a budden to their entire life.

Napambana na hali yangu bhana mapenzi baadae.
 
Kweli naanza kuamini kua baadhi ya vijana kutongoza ni janga kubwa kwao na wengi wao wanajikaza kisabuni kumalizia hasira zao kwenye punyeto, na hili naliona ni janga kama lilivyo tatzo la ajira tu nchini. Wadau karibuni kwa maoni na mitazamo yenu mnadhani ni nini chanzo cha matatizo haya? N.b mimi si muhanga.
Kila ndege hutua mti aupendao kujichua,uzinz vyote ni dhambi
 
Back
Top Bottom