Yaaani! You have to experience it, to believe it.Hii kitu ni hatari sana niliwahi kuipractice niliona balaa lake acha macho yana nguvu sana
Nikweli mkuuuUnaweza jua hata tabia ya mtu kwa macho tu
Nani wakunyoa sasa kama huja mdaka mkuutatizo lipo kwenye kope zake mwembie anyoe utaweza kumtongoza
Hahaha akinyoa sio tena unaemtaka mkuutatizo lipo kwenye kope zake mwembie anyoe utaweza kumtongoza
We kibokoNapenda kutongozwa kwa macho, namjibu kwa macho, tunakulana kwa macho halafu kila mmoja anapita hivi...
kuna wanawake daraja la 1 mpaka 6Habari wanajamvi
Imekua hali iliozoeleka kwangu mara zote , nikikutana na mwanamke uso kwa uso nikimuangalia tu bas sina hata haja yakutongoza.
Swali laja, huwa kuna nini kwenye macho kiasi kwamba wanashindwa kuzuia hisia zao?
Unatumiwa na mapepo, wanakuwa wamekutuma kuwafuata hao wanawake ili kuwaangusha katika zinaa kuharibu mambo yao na mambo yako mwenyewe.Habari wanajamvi
Imekua hali iliozoeleka kwangu mara zote , nikikutana na mwanamke uso kwa uso nikimuangalia tu bas sina hata haja yakutongoza.
Swali laja, huwa kuna nini kwenye macho kiasi kwamba wanashindwa kuzuia hisia zao?
Kweli atakuwa na mapepo tu anawatesa dada zetuUnatumiwa na mapepo, wanakuwa wamekutuma kuwafuata hao wanawake ili kuwaangusha katika zinaa kuharibu mambo yao na mambo yako mwenyewe.
Inamisha macho Yako hawatalegea tena.Habari wanajamvi
Imekua hali iliozoeleka kwangu mara zote , nikikutana na mwanamke uso kwa uso nikimuangalia tu bas sina hata haja yakutongoza.
Swali laja, huwa kuna nini kwenye macho kiasi kwamba wanashindwa kuzuia hisia zao?