Mtumishi umeamua kuja kihivyo,
Ongeza na haya hapa japo siku hizi ni pesa mbele,
wanasema haya maneno wanayajua toka wakiwa sunday schools
[TABLE="width: 657"]
[TR]
[TD="class: xl67, width: 82, bgcolor: transparent"]2 Timotheo[/TD]
[TD="class: xl65, width: 28, bgcolor: transparent"]3[/TD]
[TD="class: xl65, width: 28, bgcolor: transparent"]16[/TD]
[TD="class: xl66, width: 737, bgcolor: transparent"]Kila andiko, lenye pumzi ya Mungu, lafaa kwa mafundisho, na kwa kuwaonya watu makosa yao, na kwa kuwaongoza, na kwa kuwaadibisha katika haki;[/TD]
[/TR]
[/TABLE]