Kutokwenda au tukizuiwa kwenda Ulaya hakutaathiri chochote

Hashimu lwenje

JF-Expert Member
Oct 2, 2017
415
359
Bado kuna watu ndani ya jukwaa hili ambao toka enzi za nyerere akili zao huwa zinawaza ulaya.

Kwa taarifa yako tunao kujua ulaya ni kwa kawaida sana, na maisha ya kule ni magumu sana wala hakuna ulazima wa kwenda, kufanya nini wakati hapa Tanzani kwetu maisha ni mazuri

ewe hujiulizagi tu kwanini wazungu wanapendelea kuja kutembelea na kutalii Tanzania. ni sababu ya maisha jombaaa.

Kwahiyo kutokwenda au tukizuwiwa kwenda ulaya hatuta athirika na chochote zaidi tuta okoa nauli na pesa ya matumizi ambayo tungeitumia tukiwa huko.

Ndugu watanzania tutengeneze Tanzania yetu ili Wazungu ndio watufuate huku tuliko.
 
Bado kuna nyumbu ndani ya jukwaa hili ambao toka enzi za nyerere akili zao huwa zinawaza ulaya.
Kwa taarifa yako tunao kujua ulaya ni kwa kawaida sana, na maisha ya kule ni magumu sana wala hakuna ulazima wa kwenda, kufanya nini wakati hapa Tanzani kwetu maisha ni mazuri, wewe hujiulizagi tu kwanini wazungu wanapendelea kuja kutembelea na kutalii Tanzania. nisababu ya maisha jombaaa. Kwahiyo kutokwenda au tukizuwiwa kwenda ulaya hatuta athirika na chochote zaidi tuta okoa nauli na pesa ya matumizi ambayo tungeitumia tukiwa huko.
Ndugu watanzania tutengeneze Tanzania yetu ili Wazungu ndio watufuate huku tuliko.

Unaijua ulaya ipi? Ni kwa kawaida sana...bila shaka panafanana sana mazingira ya huku kwetu. Natamani kufika nikapaone
 
Watu ambao hawajawahi kufika majuu wako brainwashed kwamba huko ulaya ni kama peponi. Wawaulize waliozamia huko wanaishia kuishi maisha ya utumwa daily kubeba mabox hadi wanaona soo kurudi bongo
 
Bado kuna watu ndani ya jukwaa hili ambao toka enzi za nyerere akili zao huwa zinawaza ulaya.

Kwa taarifa yako tunao kujua ulaya ni kwa kawaida sana, na maisha ya kule ni magumu sana wala hakuna ulazima wa kwenda, kufanya nini wakati hapa Tanzani kwetu maisha ni mazuri

ewe hujiulizagi tu kwanini wazungu wanapendelea kuja kutembelea na kutalii Tanzania. ni sababu ya maisha jombaaa.

Kwahiyo kutokwenda au tukizuwiwa kwenda ulaya hatuta athirika na chochote zaidi tuta okoa nauli na pesa ya matumizi ambayo tungeitumia tukiwa huko.

Ndugu watanzania tutengeneze Tanzania yetu ili Wazungu ndio watufuate huku tuliko.
Umeshawahi kufika walau hata Kenya tuu ??? Maana umeandika utumbo sijapata ona

Fika Kenya kuanzia thika road kuelekea kitengela mpaka JKIA through kasarani uone hayo mazingira kwanza ndio uje uandike utumbo wako hapa tena
 
Bado kuna watu ndani ya jukwaa hili ambao toka enzi za nyerere akili zao huwa zinawaza ulaya.

Kwa taarifa yako tunao kujua ulaya ni kwa kawaida sana, na maisha ya kule ni magumu sana wala hakuna ulazima wa kwenda, kufanya nini wakati hapa Tanzani kwetu maisha ni mazuri

ewe hujiulizagi tu kwanini wazungu wanapendelea kuja kutembelea na kutalii Tanzania. ni sababu ya maisha jombaaa.

Kwahiyo kutokwenda au tukizuwiwa kwenda ulaya hatuta athirika na chochote zaidi tuta okoa nauli na pesa ya matumizi ambayo tungeitumia tukiwa huko.

Ndugu watanzania tutengeneze Tanzania yetu ili Wazungu ndio watufuate huku tuliko.
Ushapata kazi? Baada ya kupata msaada wa kusoma oil and gas kwa msaada wa Jk amekuja jiwe kawatosa unaanza kujipendekeza kwa jiwe.
 
Dada yetu umesoma wapi?? Hiki uliandika inaonesha jinsi gani kichwani kumepungua gear hivi leo hii TANZANIA inaweza kujitegemea bila wahisani?
Huyu ni me au ke? Kama ni Ke alipelekwa uturuki akaishia hotelini au Dubai akajua amefia.

Atwambie ni nchi gani Ulaya amekwenda na city alizotembelea na shida zilizopo? Huwezi ishi ulaya bila kazi. Hata malaya analipa kodi iwe hapa machinga anaambiwa asibughudhiwe wakati wenzao ulaya kila siku wanaingizia council pesa ya kusaidia usafi?
 
Bado kuna watu ndani ya jukwaa hili ambao toka enzi za nyerere akili zao huwa zinawaza ulaya.

Kwa taarifa yako tunao kujua ulaya ni kwa kawaida sana, na maisha ya kule ni magumu sana wala hakuna ulazima wa kwenda, kufanya nini wakati hapa Tanzani kwetu maisha ni mazuri

ewe hujiulizagi tu kwanini wazungu wanapendelea kuja kutembelea na kutalii Tanzania. ni sababu ya maisha jombaaa.

Kwahiyo kutokwenda au tukizuwiwa kwenda ulaya hatuta athirika na chochote zaidi tuta okoa nauli na pesa ya matumizi ambayo tungeitumia tukiwa huko.

Ndugu watanzania tutengeneze Tanzania yetu ili Wazungu ndio watufuate huku tuliko.
Tutajie nchi, Count, and the city you lived in hata no. ya street tuanzie hapo.
 
Watu ambao hawajawahi kufika majuu wako brainwashed kwamba huko ulaya ni kama peponi. Wawaulize waliozamia huko wanaishia kuishi maisha ya utumwa daily kubeba mabox hadi wanaona soo kurudi bongo
Ukienda mahali kokote bila mipango maalumu lazima upate tabu.
Uzamia ulaya huna kaz iliyokupeleka lazima uumie.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom